katika nchi hii ya watu vigeugeu, taifa lenye watu wenye tamaa na wanaojali maslahi yao binafsi kuliko ya taifa, ni lazima tukubali idadi kubwa ya vyama vya siasa, kwa sababu wapo viongozi wasio tayari
kuongozwa, wanaposhindwa kwenye chaguzi zao tu, wanahama au wanaona bora chama kife kuliko kuwaona wengine wanashika madaraka. Hali hii ni tishio na hatari sana kwa nchi, ni bora tukaruhusu ushindani huu wa vyama vingi ili vipaji vya viongozi vipate uwanja mpana wa kujengwa na pengine hatakinapoanguka kimoja kingine kinashika hatamu. Wanaopinga ongezeko la vyama vya siasa hawana uwezo wa hoja na pengine ni watu waliopata fursa zao kwa undugu au urafiki n.k adc, chauma na wengine wote kazeni buti mchukue vijiji na kata na mshindane pia uchaguzi mdogo wa majimbo.achaneni na wajinga wanaowaita ccm b au wanaowaita mapandikizi ya chadema
kuongozwa, wanaposhindwa kwenye chaguzi zao tu, wanahama au wanaona bora chama kife kuliko kuwaona wengine wanashika madaraka. Hali hii ni tishio na hatari sana kwa nchi, ni bora tukaruhusu ushindani huu wa vyama vingi ili vipaji vya viongozi vipate uwanja mpana wa kujengwa na pengine hatakinapoanguka kimoja kingine kinashika hatamu. Wanaopinga ongezeko la vyama vya siasa hawana uwezo wa hoja na pengine ni watu waliopata fursa zao kwa undugu au urafiki n.k adc, chauma na wengine wote kazeni buti mchukue vijiji na kata na mshindane pia uchaguzi mdogo wa majimbo.achaneni na wajinga wanaowaita ccm b au wanaowaita mapandikizi ya chadema