naja mkuu
unazungumzia chuo gan hko mkuu?
Sjazungumzia chuo mkuu,
Nazungumzia nafasi za ajira serikalini kwa masomo hayo now hazipo....
SjazunguSjazungumzia chuo mkuu,
Nazungumzia nafasi za ajira serikalini kwa masomo Mkuu shule za kata hazina walimu itakuaje wactshe ajira au mtakua mnafundisha kwa shifti mlio ajiriwa?
Imesitisha hajira kwa masomo ya arts,ila sayansi wanaendelea kuchukua si unajua kuna uhaba wa waalimu wa science nchini..?
Sjazungu
Imesitisha hajira kwa masomo ya arts,ila sayansi wanaendelea kuchukua si unajua kuna uhaba wa waalimu wa science nchini..?
Yeah vipi wewe ni mkondo Wa science? Kama ndiyo endelea na mchakato mkuu utatoboa....
SjazunguSjazungumzia chuo mkuu,
Nazungumzia nafasi za ajira serikalini kwa masomo Mkuu shule za kata hazina walimu itakuaje wactshe ajira au mtakua mnafundisha kwa shifti mlio ajiriwa?
Mmmh hiyo taarifa ni ya uhakika au tetes wakuu maana me pia nina mpango huo.
Nikienda af mambo yenyew yawe hivyo c ntakufa kabisa jaman.
Sjazungu
Mmmh hiyo taarifa ni ya uhakika au tetes wakuu maana me pia nina mpango huo.
Nikienda af mambo yenyew yawe hivyo c ntakufa kabisa jaman.
Kufa haitoshi,unajua vijana tunamatatizo,tunasoma kozi kwa prestige bila kuangaria uwepo wa ajira na familia unayotoka,na jambo linatugalimu sana