Kama inavyojiekeza katika kichwa cha habari wadau, naombeni kujuzwa juu ya ada za shule za serikali za advanced Na kama michango mingine inaruhusiwa,
kuhusu o-level nafahamu ada na michango imefutwa,
kwa advanced naombeni mwongozo wadau.
Note; Shule za government/serikali tu.
kuhusu o-level nafahamu ada na michango imefutwa,
kwa advanced naombeni mwongozo wadau.
Note; Shule za government/serikali tu.