PHILIPLULINDA
Senior Member
- Jun 1, 2013
- 181
- 89
ACT - Wazalendo yaendeleza yabomoa ngome ya CHADEMA baada ya alikuwa mgombea uenyekiti cha kwembago kuhamia ACT - Wazalendo, ni mwendelezo wa wapenda amani kujiunga ACT - Wazalendo.
Akijiunga ACT - Wazalendo mwenyekiti huyo ndugu Henry alisema kaamua mwenyewe kwa moyo mmoja na Anasema Sasa ni kufyeka mapori na kuondoa magugu ya vyama visivyo na Sera madhubuti kama za ACT - Wazalendo. Aliwaomba wote wenye mapenzi mema na nchi wajiunge ACT - Wazalendo.
Akijiunga ACT - Wazalendo mwenyekiti huyo ndugu Henry alisema kaamua mwenyewe kwa moyo mmoja na Anasema Sasa ni kufyeka mapori na kuondoa magugu ya vyama visivyo na Sera madhubuti kama za ACT - Wazalendo. Aliwaomba wote wenye mapenzi mema na nchi wajiunge ACT - Wazalendo.