ACT-Tanzania yalibomoa gazeti la Mbowe, Tanzania Daima

IMG-20150313-WA0004.jpg
Pole sana Kamanda
 
Kesho tutasikia kuwa Nyumbani kwa Mbowe hali ni mbaya kwani House girl wake amehamia ACT hivyo hakuna mtu wa kuosha vyombo na kupiga deki.
Teh! teh! teh! theeeeee!!!!!!!! Wacha ni cheke miye kijukuu cha Sambai maana siasa imevamiwa.

Nna uhakika ukisikia hivyo utafurahi sana, kila mtu anajua unatamani kuwa housegirl wake
 
Yes,Ni uamuzi mzuri,huwezi kufanya kazi kwa MCHAGGA Ukatoka.Ni UBEPARI(UBWANYENYE) VS UTUMWA.Gooood !

wanaofanya kwa wahindi wanatajirika.


Kama shule yako inakuelekeza unyojaji unarangi,kabila na dini utachelewa sana kuzitoa fikra zako katika kifungo cha kudumu!

Na hao wafanyakazi wa serikali wananyonywa na serikali ya kabila gani.?
 
Umeshtushwa mpaka kusoma mada yote huwezi, kuwa na moyo mgumu soma yote ujue kwa nini nimesema ACT imelibomoa hilo gazeti.

toka gazeti lianzishwe,walishahama wangapi na kuajiriwa wangapi? acheni kutapatapa na vijihabari vya kuokoteza
 
Hahahaa, acheni kutapatapa. Abdallah Kahamis amekwenda kuwa kama alivyo Tumaini Makene pale CHADEMA, patamu hapo.


Mbona hueleweki???????

Kwani kwa mtu kuacha kazi sehemu moja na kwenda nyingine ni jambo la kawaida katika ulimwengu huu wa Ajira.

je, unataka kutuaminisha kuwa wewe toka uanze maisha ya kuajiriwa hujaacha kazi na kwenda ajiriwa sehemu nyingine???

Huyo unayempigia debe huenda amefuata maslahi huko. Na pia uelewe kuwa kwa maelezo yako ni kwamba kule ACT amekuwa ni Afsa Habari Maelezo na siyo mwandishi wa Habari.

Kipi ni kipi!!!!!!!!!

Jitahidi kutafuta habari zenye mvuto, kwa hii bado inapwaya vichwani mwetu.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Hivi kuna gazeti ambalo watu hawahami? Mbona husemi baada ya hao kuhama kuna wenhine wamejoin?
 
Neville Meena ni zaidi ya waandishi wote WA Uhuru,jambo Leo,mtanzania,habari leo na tbccm.Tanzania Daima ni gazeti linalouza nakala nyingi zaidi baada ya mwananchi.hivyo hakuna athari yoyote kwa huyo mhariri kujiunga na alliance for cowards and traitors.
 
Na wewe unajiita mwandishi halafu unaandika huyu bwana ni mwandishi "mzuli".Haya ni majanga kweli
 
Chama chenu ni kichanga,hakina ruzuku,hakina miradi yeyote ya kukiingizia mapato.
Lakini pamoja na hayo,chama chenu kina hela.
Kina ajiri na kufanya mikutano ya ndani na hadhara.
Chama chenu kinapata wapi hela zote hizi?
Oooooh,mwenyekiti wenu atakuwa anakidhamini kupitia Leka tudigite na Gimbe advisors?
 
Kuna wakati uwa sielewi uwezo wa kufikiri wa baadhi wa wanachama wa Alliance Of Cheaters and Traitors.Nadhani taaluma ya uandishi wa habari ina watu kibao zaidi ya taaluma nyingine yoyote,huyu kwenda kuchuka nafasi ya Mwl Kaijage sio ajabu,na kuwa muandishi wa Tanzania Daima haimaanishi kuwa ni mwanachama wa CHADEMA,kutafuta green pasture ni jambo la kawaida japo ninaamini kuwa atajutia uamuzi wake kwani ACT nichama cha msimu,kimeundwa kujaribu kupunguza nguvu ya upinzani wakati wa uchaguzi mkuu,uchaguzi huo ukiisha kitabaki kama UDP
 
Hivi kuna gazeti ambalo watu hawahami? Mbona husemi baada ya hao kuhama kuna wenhine wamejoin? chumba cha habari ni sawa na mzinga wa nyuki , tunaingia na kutoka
 
Ushabiki kweli haufai, sasa ww unavyoonge utafikiri huyu mwandishi ndio alilianzisha hili Gazeti, na hata alilianzisha lakini si kuna kufa? Angekufa ungesemaje? Nikuulize swali, je mgunduzi wa Meli bado anaishi? Na kama kafa je Meli hazitengezwi tena?


Moja kati ya majibu bora kabisa yenye mantiki ya kisomi! mkuu siku yangu imeenda vizuri sana.
 
Umeshtushwa mpaka kusoma mada yote huwezi, kuwa na moyo mgumu soma yote ujue kwa nini nimesema ACT imelibomoa hilo gazeti.

nimesoma mada yote sijaona LA maana,wala sijaona Tanzania daima kubomolewa kwa kuondoka huyo jamaa.
jamaa kapata kazi may be good paying job,sass ulitaka aache kwenda kisa a
nafanya kazi free media?
 
Hahahaa, acheni kutapatapa. Abdallah Kahamis amekwenda kuwa kama alivyo Tumaini Makene pale CHADEMA, patamu hapo.

Unabwabwaja kwa ushabiki. Jitahidi kuelewa comments za watu kabla hujaweka ushabiki wa kisiasa. Sio kila anaechangia JF atakuwa mwanachama wa chama usichoshabikia wewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom