ACT-Tanzania tunapenda uchaguzi, CHADEMA kupita bila kupingwa

Mwl. Kaijage

JF-Expert Member
Jan 3, 2015
216
214
Je unaijua Mboweism
Huu ni ugonjwa mpya wa wanasiasa kuogopa uchaguzi kwa hofu ya kupoteza nafasi zao.

Limbu aliambukizwa ugonjwa huu na Kada wa chadema Bw Saidi Kubenea.

Dalili za Ugonjwa huu wa Mboweism ni kwa kiongozi kukimbilia kuwafukuza washindani wake kisiasa

Pia kupenda kupita bila kupingwa ili kuwa kiongozi wa juu wa chama.

Dalili nyingine ni kutofuata Katiba na kanuni za chama.

Tiba ya ugonjwa huu ni kwa wanachama kutorudi nyuma katika kusimamia katiba na kuhakikisha kiongozi anapatikana kwa kupigiwa kura na si kupewa ushindi wa mezani.

Uchaguzi wa kidemokrasia ndio hitimisho la ugongwa wa Mboweism.

Pia ugonjwa huu una kinga............
 
Sasa wewe Mwl. wa UPE ni nini hiki ulichokiandika? je kati ya CHADEMA na CCM ni chama kipi ambacho viongozi wake wengi upita bila kupingwa? ili kutaka wewe uje na jibu sahihi naomba utuambie katika chaguzi zote za CCM za Mwenyekiti wa Taifa je imeishawahi uchaguzi huo ukawa na wagombea nafasi ya Mwenyekiti zaidi ya Mmoja?
Nimekuuliza maswali haya ili kukuweka UCHI jinsi akili zako zilivyo yaani hii hoja yako ungeizungumzia zaidi CCM kuliko kuitaja CHADEMA kwani tumeshuhudia uchaguzi uliopita nafasi ya uenyekiti wa Taifa CDM haikuwa na mgombea Mmoja bali walikuwa zaidi ya mmoja sasa hiki ulichokiandika sijui nini unamaanisha.

Tambua kuwa ACT imekufa kabla haija zaliwa na ni kwa kuwa tu iliingizwa na CCM kwa lengo la kuiangaiza CDM lakini yametokea haya kwa kuwa tu hata hicho chama(CCM) kilichowapa nguvu nacho kinakufa.

Na cha kusikitisha hata hiyo Heading yako hana kichwa wala miguu
 
akili zako zinakutosha mwenyewe! huoni hata aibu kujiita mwalimu! mwal gani umejaa umbea? jengeni chama chenu achamaneno ya kiswahili.
 
View attachment 220177View attachment 220179View attachment 220180
anazichapa kavukavu samson mwigamba na katibu wa act arusha
je unaijua mboweism
huu ni ugonjwa mpya wa wanasiasa kuogopa uchaguzi kwa hofu ya kupoteza nafasi zao.

Limbu aliambukizwa ugonjwa huu na kada wa chadema bw saidi kubenea.

Dalili za ugonjwa huu wa mboweism ni kwa kiongozi kukimbilia kuwafukuza washindani wake kisiasa

pia kupenda kupita bila kupingwa ili kuwa kiongozi wa juu wa chama.

Dalili nyingine ni kutofuata katiba na kanuni za chama.

Tiba ya ugonjwa huu ni kwa wanachama kutorudi nyuma katika kusimamia katiba na kuhakikisha kiongozi anapatikana kwa kupigiwa kura na si kupewa ushindi wa mezani.

Uchaguzi wa kidemokrasia ndio hitimisho la ugongwa wa mboweism.

Pia ugonjwa huu una kinga............
 
Mada za Kaijage (Sikuiti Mwalimu mpaka uniambie wewe ni Mwl wa nini) Zinasound kama post za kina Lizabon assadsyria3 laki si pesa chuki chama Chabruma Weston Songoro shemeji gsu na mitoto mingine ya Lumumba

Yaani wanapost mada utafikiri akili zao zimegeuka kamasi zinashuka tu utafikiri Mlenda!!

Kwahiyo kina Mwigamba,Kitila wamewatimua kina Nyakarungu na Lumbu wakihofia kushindwa kwenye uchaguzi siyo...?? Sasa. hiki ni chama cha siasa au chama cha wacheza sumo...!!!!!

Nasikituka kupoteza muda wangu kufungua sach thread uchwara namna hii...

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:
Kazi kubwa iliyokuwa inafanywa na Chadema kuivuruga ACT-TANZANIA imekwisha leo,,baada ya timu ya Limbu kulalamika kwa msajili wa vyama, Msajili amebariki maamuzi yote ya Halmashauri Kuu ya ACT-TANZANIA,,Tupo njiani kuelekea makao Makuu ya ACT. Limbu na wenzake wa Chadema wamebaki wamepigwa na butwaa na kubaki na aibu kubwa"" ACT-TANZANIA tunaamini ktk demokrasia na uzalendo.
 
Asa wewe mambo ya CDM yanakuwashia kitu gan km co mwanachama!!!
...huu uzi umekaa kiudaku daku hivi..... ningekuomba u'apply Global pale yale magazeti yatakufaa ukiwa mwandishi pale!!
...lakin apa km hujafikiria kabisa ulichokuwa unakiandika!!
..then nkuulize unatumia akili ako kbs au akili yako inatumiwa???
 
Kweli hawa jamaa wajinga....Hivi chadema ina muda na hawa wapuuzi

Kwanza chadema chenyewe bad ni chama kidogo...kuna dubwana kubwa CCM la kupambana nalo

Sasa ACT ndio ushuzi gani

Nyie watu mnakera sasa
 
Msameheni bure,katoka msibani juzi,alifiwa na bosi wake mwenye kumiliki shule anayofundisha,na kwa jinsi hali ilivyo uhakika wa ajira kuendelea ni mdogo kwani kuna ugomvi unapitika kati ya wake wa marehemu unaoweza kusababisha huo mradi ukafungwa kabisa ama kukodishwa.Sio makosa yake ni msongo wa mawazo.
 
Kazi kubwa iliyokuwa inafanywa na Chadema kuivuruga ACT-TANZANIA imekwisha leo,,baada ya timu ya Limbu kulalamika kwa msajili wa vyama, Msajili amebariki maamuzi yote ya Halmashauri Kuu ya ACT-TANZANIA,,Tupo njiani kuelekea makao Makuu ya ACT. Limbu na wenzake wa Chadema wamebaki wamepigwa na butwaa na kubaki na aibu kubwa"" ACT-TANZANIA tunaamini ktk demokrasia na uzalendo.

we li.ji.nga. kweli. jengeni chama acha kulopoka bwana mdogo!
 
Kuna ukweli katika hoja yako kuwa mbowe ana tatizo la kupenda madaraka na kutotaka ushindani, lakini pamoja na kuwa hujajenga hoja vizuri pia umefanya shambulizi la moja kwa moja!Lipumba, Seif, Mbatia, Mrema, Cheyo etc wote hawa hawataki na hawana mpango wa kuachia nafasi zao pamoja na kuzitumikia kwa zaidi ya miaka 10!CCm nayo kimsingi haina uchaguzi wa kidemokrasia kwa ngazi ya Mwenyekiti, kwani Rais ndiye mwenyekiti wao mara zote tokea Nyerere alipoachia nafasi hiyo. Lakini wao CCM wameweka utaratibu wa kueleweka kwani mtu hawezi kuwa mwenyekiti kwa zaidi ya miaka 10!hicho ndo kitu pekee kwa ccm, wana ukomo wa muda wa kukaa madarakani ndani ya chama!Hatari ya kutofanya mazoea haya ya kuachia ngazi kwa ukomo ni kung'ang'ania madaraka ya nchi kwa kubadilibadili katiba ikiwa mmoja wa hao watajwa atakuwa Rais
 
Mmmmmmmmmmmmmmmh wewe wa kigoma kweli maana naona kama akili zako hazikutoshi vile, ahhhhhhhhhhhhhhhhhhh ndio maana wanafuzi wanfeli kumbe walimu wao akili zao haziwatoshi
 
Kazi kubwa iliyokuwa inafanywa na Chadema kuivuruga ACT-TANZANIA imekwisha leo,,baada ya timu ya Limbu kulalamika kwa msajili wa vyama, Msajili amebariki maamuzi yote ya Halmashauri Kuu ya ACT-TANZANIA,,Tupo njiani kuelekea makao Makuu ya ACT. Limbu na wenzake wa Chadema wamebaki wamepigwa na butwaa na kubaki na aibu kubwa"" ACT-TANZANIA tunaamini ktk demokrasia na uzalendo.

Hicho chama chenu mbona kimekufa kitambo sana !
 
Kuna ukweli katika hoja yako kuwa mbowe ana tatizo la kupenda madaraka na kutotaka ushindani, lakini pamoja na kuwa hujajenga hoja vizuri pia umefanya shambulizi la moja kwa moja!Lipumba, Seif, Mbatia, Mrema, Cheyo etc wote hawa hawataki na hawana mpango wa kuachia nafasi zao pamoja na kuzitumikia kwa zaidi ya miaka 10!CCm nayo kimsingi haina uchaguzi wa kidemokrasia kwa ngazi ya Mwenyekiti, kwani Rais ndiye mwenyekiti wao mara zote tokea Nyerere alipoachia nafasi hiyo. Lakini wao CCM wameweka utaratibu wa kueleweka kwani mtu hawezi kuwa mwenyekiti kwa zaidi ya miaka 10!hicho ndo kitu pekee kwa ccm, wana ukomo wa muda wa kukaa madarakani ndani ya chama!Hatari ya kutofanya mazoea haya ya kuachia ngazi kwa ukomo ni kung'ang'ania madaraka ya nchi kwa kubadilibadili katiba ikiwa mmoja wa hao watajwa atakuwa Rais
Siku ccm kitakapokuwa chama cha upinzani utaona kama mwenyekiti atachia madarakw kwa hiyo miaka 10. Sasa hivi inawezekana kwa sabb rais ndo mwenyekiti. Tukija kwa suala la mbowe , yupo vzr pengine kuliko hata hao ccm kwan uchaguzi unafanyanyika huku wagombea zaidi ya mmoja wakiwania nafasi mpaka ya mwenyekiti
 
Back
Top Bottom