technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Ukubwa wa mamelod ni upi?
Timu ambayo toka mwaka 2016 haijawai kuchukua ubingwa wa Africa?
Mamelod anayeishia robo na nusu fainali kila siku?
Kuna wajinga wanasema hata wachezaji wa al ahly eti hawaingii kwenye kikosi cha mamelodi bangi au?
Mamelodi kazidiwa mafanikio na
Al ahly
Wydad
Exparence
Tp Mazembe
Mamelodi level zake ni Simba, CR Belousdad na Raja
Acheni kuwapaisha kwangu Mimi timu bora Africa itabaki kuwa al ahly
Mamelodi watanyooshwa na yanga hapa msije kuwakataa tu wanapaishwa utafikiri ni Real Madrid Fulani hivi kumbe ni PSG aliyechangamka kwenye champions ligue.
Naamini kabisa kuna wachezaji kibao wa simba na yanga wanaingia kwenye kikosi cha mamelodi yaani inonga akose namba mamelodi? Au Baka akose namba mamelodi ?
Nawaambia tutarudi hapa tarehe 30 usiku kwenye huu Uzi mamelodi akiwa kafa na akijichanganya anatoka.
Timu ambayo toka mwaka 2016 haijawai kuchukua ubingwa wa Africa?
Mamelod anayeishia robo na nusu fainali kila siku?
Kuna wajinga wanasema hata wachezaji wa al ahly eti hawaingii kwenye kikosi cha mamelodi bangi au?
Mamelodi kazidiwa mafanikio na
Al ahly
Wydad
Exparence
Tp Mazembe
Mamelodi level zake ni Simba, CR Belousdad na Raja
Acheni kuwapaisha kwangu Mimi timu bora Africa itabaki kuwa al ahly
Mamelodi watanyooshwa na yanga hapa msije kuwakataa tu wanapaishwa utafikiri ni Real Madrid Fulani hivi kumbe ni PSG aliyechangamka kwenye champions ligue.
Naamini kabisa kuna wachezaji kibao wa simba na yanga wanaingia kwenye kikosi cha mamelodi yaani inonga akose namba mamelodi? Au Baka akose namba mamelodi ?
Nawaambia tutarudi hapa tarehe 30 usiku kwenye huu Uzi mamelodi akiwa kafa na akijichanganya anatoka.