GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Hili linaniudhi sana na linafanywa sana na wanaume, utakuta jitu limekaa sehemu ya biashara kama
Cafe n.k Basi kwa kuwa ni mpenzi wake atakaa hapo muda mrefu, tena
mwingine sio mpenzi ndio kwanza anavizia yaani mpaka anakera.
Jamani hebu subirini nje ya ofisi, najua kuna watu wataichukia hii
post lakini kiukweli si tabia nzuri.
Hasa wewe Rafiki yangu X yaani ukitoka tu kazini lazima upitie
hapo na kushinda saa kadhaa hebu wapishe wateja nao wana
muda wao.
Cafe n.k Basi kwa kuwa ni mpenzi wake atakaa hapo muda mrefu, tena
mwingine sio mpenzi ndio kwanza anavizia yaani mpaka anakera.
Jamani hebu subirini nje ya ofisi, najua kuna watu wataichukia hii
post lakini kiukweli si tabia nzuri.
Hasa wewe Rafiki yangu X yaani ukitoka tu kazini lazima upitie
hapo na kushinda saa kadhaa hebu wapishe wateja nao wana
muda wao.