kama ni nafasi za loan officers....mmmmh! mtapita hiyo interview but mtakuwa surprised kwenye information session karibu nusu hawatopenda kuendelea na hao jamaaa. nendeni mkashuhudie wenyewe sitaki maswali.
Access wana matatizo si bure, haiwezekani wawe wanaajiri kila siku...
Inawezekana hawa jamaa ofisi zao zinatanuka kwani kasi yao ya kuajiri ni kubwa mno.
Inawezekana hawa jamaa ofisi zao zinatanuka kwani kasi yao ya kuajiri ni kubwa mno.
Inawezekana hawa jamaa ofisi zao zinatanuka kwani kasi yao ya kuajiri ni kubwa mno.
accessbank hapafai nilikua hapo kama loan officer nakaacha. mshahara mdogo kazi kubwa, hawajali wafanyakazi kabisa. ndio maana kila wakati wanatangaza nafasi kwani wengi wanaingia na kutoka mara moja baada ya kuona mazingira ya kazi.
Mi nilivyoona wanaajiri sana nikajua kuwa wanaongeza branches zao mara kwa mara, kumbe jibu kashanipa mdau hapo juu.Wanatanuka kwenda wapi mzee?Mbona hatuoni tentacles?!!!
mkuu ni jukumu la loan officer kutafuta wateja mwenyewe.ingawaje zipo bank na taasisi chache ambazo wateja hawatafutwi na afisa.na mara nyingi ni mikopo ya wafanyakzi.lakini ya wafanya biashara ni juu yako afisaMhh kwani loan officer ndo unatafuta loan seakers?tusaidiane maana nimeapply somewhere as loan officer nijue km ndo kuungua juani wakuu
Mhh kwani loan officer ndo unatafuta loan seakers?tusaidiane maana nimeapply somewhere as loan officer nijue km ndo kuungua juani wakuu
Mhh kwani loan officer ndo unatafuta loan seakers?tusaidiane maana nimeapply somewhere as loan officer nijue km ndo kuungua juani wakuu