Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,809
- 114,251
Kama nilivyoeleza kwenye jibu lililotangulia, Acacia hajazuiliwa kwa kukosa leseni, bali Acacia ni hatambuliwi na serikali kwa kutokusajiliwa nchini, lakini migodi yake mitatu, Buzwagi, Bulyanhulu, na North Mara inatambuliwa,ina leseni na inaendelea na uzalishaji wa dhahabu na kui export.Hapa binafsi naona ukakasi inakuwaje Acacia aliyezuiliwa kwa kukosa leseni na upigaji tukaambiwa anahamishiwa Barrik
Leo tena Acacia anaruhusiwa kusafirisha kuna nini nyuma ya pazia kinachoendelea?
Kilichozuiwa ni export ban on makinikia na sio uzalishaji wa makinikia wala uzalishaji wa dhahabu.
Kufuatia Acacia kutokutambuliwa ndipo Barrick akainunua, ila mauziano bado hayajawa finalized, wakati hayo yakiendelea mgodi mmoja wa North Mara ulisimamisha uzalishaji wa dhahabu kwa sababu za kimazingira, sasa ndio umeruhusiwa kuendelea na uzalishaji wa dhahabu na export hadi mauziano yatakapo kamilika.
P