kiwalanikwagude
Member
- Jun 8, 2011
- 52
- 19
Namchukulia kama mpambanaji wa ufisadi asiyechoka wala kukata tamaa kama wenzake kina kibanda na kubenea ambao wamekata tamaa ya kupambana na ufisadi pamoja na mafisadi na kuamua kujiunga nao!pamoja na vizingiti na hujuma kibao za ndani ya chama chake dhidi ya vita ya ufisadi bado kasimama kwenye mstari licha ya kupewa uwaziri ili kumnyamazisha lakini hanyamazi,umewahi kumuona mtanzania wa aina hiyo hivi karibuni?kuna watu hapa wamenunuliwa corolla tu mnaona walivyobadilika!
Eeeh hapa ndo haswa nilikuwa napasubiri, sasa endelea mkuu mi ukiacha mnafiki kibanda wengine walionunuliwa corolla na kuchange!