mwamajinja mapunga
JF-Expert Member
- Dec 23, 2014
- 1,074
- 607
Habari wadau, bila kuficha kinachoendelea katika wilaya ya kyela ni ishara tosha kuwa wananchi walishachoshwa na ahadi hewa za mbunge wao Dr. Harrison Mwakyembe kwa ulaghai wake umesababisha wananchi kuamua na kufanya maamuzi mazito haswaaaa.. na hii imejidhihirisha katika kura za maoni zilizofanyika juzi maeneo ya Kasumulu Kyela ambapo ndg Abraham Hebel Mwanyamaki juzi aliibuka kidedea kwa kuwashinda watu watia nia wengine alioambatana nao kwa kura 322 huku akimuacha mbali sana aliyefuata bwana Alinanuswe Mwalwange akiwa na kura 65 wengine ni kamaMWAIPOPO AU GOGODO KURA 9 . Hiii imejidhihirisha wazi kuwa MWANYAMAKI KYELA NI MOTO WA KUFA SHETANI YAAN CCM MWISHO MWAKA huu Kyela. licha ya hayo Mwanyamaki ni mtu mwenye busara anayejua kusikiliza watu, asiye na mkuu akiwashukuru wanakyela aliyasema machache namnukuu "Naashukuru wananchi wa kyela kwa kunichagua, ushindi huu si wa Mwanyamaki pekee, si wa CHADEMA PEKEE NI wa WANAKYELA WOTE, pia kama kulikuwa na makundi tuyavunje tujenge chama na kyela yetu asanteni sana" makofi waaaa CHADEMA IMECHACHAMA CHAAA!!!! CHADEMA IMECHACHAMA CHAAAA !!!!! PEOPLESSSSSSSSS!!!!