Wakati mwingine sio kusengenya marehemu.Huwa inakuwa kuelimishana na kuwa wawazi zaidi.Inabidi tufike mahali watz tubadilike...tusiwe wanafiki.kama mtu amefariki na chanzo ni UK basi isemwe wazi.Naamini kwa kuiona hiyo picha kuna watu wengi tu wamebadili tabia zao na watanusurika na janga...Nakubaliana na wewe. Kuna kila sababu kwa marehemu kwa kufuata sheria za dini ya kiislamu kusitiriwa na walio hai. Si amini Kama angekubali picha ninayoiona au namna alivyo ionekane/aonekane.
Poleni sana familia ya Mr Ebo!
Lema ni nani katika familia ya Mr Ebo, mpaka kupanga mazishi hayo!
Huu msiba una uhusiano gani na wanaharakati wa Chadema!
Mbona mnataka kupora msiba wa watu?
Hii?
duuuh leo ntalala kwa shida sana
nimeogopa na ntazidi kuogopa
laaaaah jamani kwanini alikataa dawa
my god
im taking two steps behind
this is scary and 4 sure is not a joke
lets learn from this
may god rest his soul in peace
amen
....Mi mmasai bana nasema mi mmasai..ni kitu najifunia masi fahari yangu,nadumishe
mila ila wengine ilishashindwa tamaduni yenye ngufu iliobaki
afirika....
Salidarama jua inachoma kama pasi,kama hapana oga hawezi pata
singizi, salidarama hata kama ni maji nauzwa..
Gari ina derefa naongozwa na
mataa ile taa najua saidi kuliko dereva...
Kama we iko kosa nakua ya
jinai,jinai mtu ya wapi kila kosa hakatai....nasingiziwa sana au ni rushwa
atoi,nachafuliwa jina na jela hapelekwi...
Na hapa sadarama ni wapi naitwa
bize ukitafuta mtu naambiwa iko bize huko bize ni wapi mbona mimi bado fika
nasikia bize tu na mwaka nakatika..
Temeke ilala magomeni na
michokeni...ostisabei mwenge pamoja kinondonyi pia kuna sinza manzese na
bugurunyi naweza kupotea kama nakosa ramani....
Mia