murra wa marwa
Senior Member
- Apr 24, 2008
- 150
- 2
View attachment 1479
Lakini tusisahau kwamba Kinana nae ni mtu mzito.
Mnaona hata hapa wenzie wanaangalia ajenda za mkutano, yeye ana-revise katiba!
Mambo mengi kuhusu CCM na nchi kwa ujumla yamo ndani ya mkoba wake na huwa hachezi nao mbali.
Rostam ala vidole tu hana agenda wala katiba.