Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
Umesahau walishamwita Msomali kama walivyomwita Iddi Simba Mhutu na Ntagazwa Mtusi?
Umesahau walishamwita Msomali kama walivyomwita Iddi Simba Mhutu na Ntagazwa Mtusi?
...nasikia mwanakijiji naye ni mmalawi!
Hapana bwana, Mwanakijiji yeye Bwenga aliyekulia Usukumani, ndio maana anasema Ghaidi na si Gaidi!
GAME THEORY said:Yuko wapi? Karudi tena Harvard? naona wenzie wanalilia nafasi mara mbili mbili huyu yeye mbona kimya? au ndio kuridhika? Lakini kama kaamua kuachana na siasa basi awe mfano wa kuigwa na akina SUMAYE
Nilidhani anarudi Harvard kama namna ya kujiposition kwa ajili ya kugombea nafasi ya juu zaidi kama SUMAYE lakini huyu akhu...kimyaaa...maana wenzie wanvyoendeleza nzara utafikiri kesho kiama...wewe CHENGE kuwa na PAUNDI MILIONI 15 alikuwa anafanya nini kwenye siasa?
ninavyojua mimi ukishakuwa na pesa serikali itakufuata tuu..mfano Bakhressa
Hapana bana Mwanakijiji mnyakyusa...
tukianza kumchunguza kuku tuashindwa kumla
Lakini seriously mwenye CV ya Kinana aiweke hapa...maana it seems he is a good man...maana hata mambo yake anayafanya so professional..alikuwa supika wa bunge la EA..alikuwa rais wa Red Cross..ofcourse Tanzania utaitwa msomali, Mhutu, Mtusi..name it..ukiingia kwenye anga za watu..Lol, bongo noma... We mwache mwanakijiji aendelee kujifanya ana uchungu na nci ya watu...tutatrace details zake na kugundua kwamba mama yake alitokea Kalemie-Congo...lol!
tukianza kumchunguza kuku tuashindwa kumla
jina la kinana linanikumbusha mbali....
Karume Kenge (the father not the son) nasikia aliwaambia Wazanzibari maulidi ya mtume yasisomwe, " manake kazi yao kutaja MAKAFIRI wakubwa wakubwa wa MAkka, KINANA, kinana sijui nani"
Mhe. kinana yupo,ndiye amekuwa akitumiwa na jk kutumwa huku na huku kutuliza mambo ya chama,anafanya kazi iliyomshinda Mzee Malecela..Jana nilimuona pale Mliamani muda wa mchana akiongea na Prof. Mkandara .Nadhania atakuwa ametumwa kumaliza mgogoro wa wanafunzi hapo chuoni,kwa kifupi ndiyo kazi yake baada ya Tingatinga kuchoka kutumw ana kijana Mdogo.