Abdallah Twalipo na Tumainiel Kiwelu: Vita na Uganda 1978-79

Tafuta maandishi ya marehemu Capt Eugene Maganga aliyekuwa mshiriki mmojawapo wa jaribio hilo. Aliandika series za makala kwenye magazeti akitoa details za yote aliyokumbuka kuanzia kupanga, kutekeleza na kufeli mapinduzi yale hadi alipokamatwa kushtakiwa na kuhukumiwa kifungo cha maisha. Aliachiwa kwa msamaha wa rais mstaafu Mwinyi mwaka 1995.


asetuba yanapatikana wapi maandishi ya capt Eugene, maana mara ya mwisho niliyaona kwenye rai.
 
nilisoma kitabu kinaitwa WAR IN UGANDA kimeandikwa na Martha Honey na Tony Arvigan. kweli vijana wetu walifanya kazi kubwa saaaana ukukisoma hicho kitabu mpaka utapenda makamanda km akina Mwita Marwa, Silas Mayunga BR. Waden waganda walipomwona wakasema tumekodisha wajerumani jamaa alikuwa chotara. kuna siku wanajeshi wa bongo walishambuliwa ilikuwa karibu na mto wale soldiers wetu wakakimbilia ndani ya maji wakajifika for six hrs yaani pua tu zimechomoza wasikose hewa.

Baada ya hapo wanajeshi wa nduli wakaondoka jamaa zetu ndo wakaibuka toka hapo yule kamanda wao wakamuita AMPHIBIA. Kulikuwa na mtu anaitwa Ben Msuya kanali huyo na yeye alikuwa frontline. ile vita bana haikuwa lelemama.

Kuna mpiganaji mwingine akiitwa OYITE OJOK huyu alikuwa ni mganda alikuwa pilot mzuri sana wa ndege maskini alikufa kwa ajali ya helcopter kwa Uganda alikuwa ofisa kwenye jeshi la museveni.

Chimunguru uliandika vizuri sana pamoja na kuwa ni habari ya zamani nilipenda nikusahihishe kwa Oyite Ojok huyu Meja jenerali Oyite baada ya kumung'oa Idd Amin Rais Obote alimteua kuwa mkuu wa majeshi ya Uganda kutoka katika kabila lake la Lango maana awamu ya pili ya Obote hakutumaini maafisa toka makabila mengine aliogopa asije pinduliwa tena kama Amin alivyofanya jambo lililosababisha ampandishe kwa kasi Oyite Ojok wa kabila lake maana Obote naye alikuwa ni wa kabila la Lango na kuwaruka Meja Jeneral TitTo Okelo na Meja Jenerali Bazilio Okello ambao waliokuwa na vye vya juu jeshini ila wao walikuwa wa kabila la Acholi lililokaribu na Lango kama wasukuma na wanyamwezi.

Kitendo hicho ndicho kilifanya uasi jeshini Uganda na Okello akampindua Dr Milton Obote ingawa tayari alikuwa mkuu wa majeshi baada ya kifo cha Meja Jenerali Oyite Ojok bado Tito Okello alikuwa hajamsamehe Obote kwa kuwa alimteua afisa a chini mwenye umri mdogo wa miaka 32 Kanali Ojok kuwa mkuu wa majeshi na kumpa cheo cha Meja Jenerali na kumruka Titto Okelo aliyekuwa Meja Jenerali tayari mwenye cheo cha juu na umri mkubwa wa miaka 58 na Meja Jenerali Bazillio Okello (hawakuwa ndugu)

Meja Jenerali Oyite Ojok aliuawa na majeshi ya NRA ya Museveni mwaka 1983 huko Ruweero Tringle na kifo chake kilikuwa planned mpaka leo Museven na wanajeshi wenzake akina Jenerali Salim Salehe, Jenerali Elly Tumwine, Jenerali Tinyefunza, Jenerali Mugisha Muntu, Jenerali Aronda Nyakairima hawaongelei kifo cha Oyite hukwepa kuelezea maana kifo chake kilikuwa ni conscipiracy kwa sababu alikuwa ni mkuu wa majeshi ya serikali ya Uganda na kutokana na uhodari wake katoka vita walijua bila kumuua Oyite hawawezi kumuondoa Obote kwahiyo walipanga lazima afe maana wao walikuwa ni wapiganaji wa waasi. kwahiyo Meja Jenerali Oyite Ojok hakuwahi kuwa upande wa Museveni wakati Museven anaongoza NRA bali walikuwa pamoja wakati wa FRONASA jeshi la ukombozi la Uganda lililotoa msaada kidogo kwa majeshi ya Tanzania kumtoa Idd Amin
 
Chimunguru uliandika vizuri sana pamoja na kuwa ni habari ya zamani nilipenda nikusahihishe kwa Oyite Ojok huyu Meja jenerali Oyite baada ya kumung'oa Idd Amin Rais Obote alimteua kuwa mkuu wa majeshi ya Uganda kutoka katika kabila lake la Lango maana awamu ya pili ya Obote hakutumaini maafisa toka makabila mengine aliogopa asije pinduliwa tena kama Amin alivyofanya jambo lililosababisha ampandishe kwa kasi Oyite Ojok wa kabila lake maana Obote naye alikuwa ni wa kabila la Lango na kuwaruka Meja Jeneral TitTo Okelo na Meja Jenerali Bazilio Okello ambao waliokuwa na vye vya juu jeshini ila wao walikuwa wa kabila la Acholi lililokaribu na Lango kama wasukuma na wanyamwezi.

Kitendo hicho ndicho kilifanya uasi jeshini Uganda na Okello akampindua Dr Milton Obote ingawa tayari alikuwa mkuu wa majeshi baada ya kifo cha Meja Jenerali Oyite Ojok bado Tito Okello alikuwa hajamsamehe Obote kwa kuwa alimteua afisa a chini mwenye umri mdogo wa miaka 32 Kanali Ojok kuwa mkuu wa majeshi na kumpa cheo cha Meja Jenerali na kumruka Titto Okelo aliyekuwa Meja Jenerali tayari mwenye cheo cha juu na umri mkubwa wa miaka 58 na Meja Jenerali Bazillio Okello (hawakuwa ndugu)

Meja Jenerali Oyite Ojok aliuawa na majeshi ya NRA ya Museveni mwaka 1983 huko Ruweero Tringle na kifo chake kilikuwa planned mpaka leo Museven na wanajeshi wenzake akina Jenerali Salim Salehe, Jenerali Elly Tumwine, Jenerali Tinyefunza, Jenerali Mugisha Muntu, Jenerali Aronda Nyakairima hawaongelei kifo cha Oyite hukwepa kuelezea maana kifo chake kilikuwa ni conscipiracy kwa sababu alikuwa ni mkuu wa majeshi ya serikali ya Uganda na kutokana na uhodari wake katoka vita walijua bila kumuua Oyite hawawezi kumuondoa Obote kwahiyo walipanga lazima afe maana wao walikuwa ni wapiganaji wa waasi. kwahiyo Meja Jenerali Oyite Ojok hakuwahi kuwa upande wa Museveni wakati Museven anaongoza NRA bali walikuwa pamoja wakati wa FRONASA jeshi la ukombozi la Uganda lililotoa msaada kidogo kwa majeshi ya Tanzania kumtoa Idd Amin

Mkuu thanks for the info!!
 
Mbona bado hatujapata historia ya hawa wetu? kama uzi ulivyoanza?anayefahamu tunaomba atujuze jamani historia ya hao mashujaa wetu,Abdalla Twalipo,na Tumainiel Kiwelu,kwa mara ya mwisho awmu ya iii alikuwa mkuu wa mkoa wetu Shinyanga.
 
imagine ndo NDULI angetuvamia leo under huyu sharobaro tuliyenaye si angekimbia nchi huyu?

Lengo la kwanza la JWTZ kwenye vita ile ilikuwa kuyaondoa majeshi ya Uganda kwenye mipaka yetu:

Majeshi ya TZ kwa mara ya kwanza yalijikusanya kwenys mpaka wa Mutukula chini ya Kanali Yunus Abdallah(RIP)aliyekuwa ndiye msemaji mkuu uwanja wa mapambano!

Mkuu wa mipango mbinu alikuwa Brigedier Chitete"Super sonic(RIP)aliyepewa jina hilo kutokana na tabia yake ya kuwazukia ghafla vijana wake tena kwa miguu kukagua maandalizi! Chitete alifariki kwa ajali ya gari mjini Dar

Kanali Lusimbi"Afande radi" akawasili pia Mutukula mapema kutayarisha mikakati ya mizinga ya kurusha ya masafa marefu na mafupi!

Pia aliyewasili mapem kutengeneza njia alikuwa kanali Lupembe aliyefika mapema kuongoza kamandi ya uchunguzi!

Mwishoni akafika mkuu wa uhandisi JWTZ kanali R. R .R .Rajabu(RIP)!Alifika mapema Kambini Kaboya kupiga mahesabu jinsi ya kurekebisha miundo mbinu iliyo haribiwa na itakayo haribiwa!

Baadae ndipo ikatumwa taarifa Lugalo kuwa maandalizi yote Mutukula yamekamilik na wakuu wa vikosi wakaanza kuwasili tayari kumpiga Nduli!Waliofika Kanazi mapema ni:
1.Major General Kiwelu(Mkuu wa awali uwanja wa mapambano kabla hajarudishwa Dar na kuletwa "mvuta kiko"General Musuguri

2.Brigedier Imran Kombe"Kamanda Ngono"(RIP) huyu aliongoza kamandi ngumu kuvuka mto Ngoni na kukutana na upinzani mkali sana!General Kombe aliuawa hivi karibuni eti mwizi wa magari!

3.Brigedier Mayunga"Mti Mkavu"(RIP) kutokana na tabia yake ya kuwa na mkongojo kila atembeapo

Kuna makamanda zaidi ya 22 waliofika mapema uwanja wa mapambano na tutaendelea kuwataja baadae

NB!Kanali Tumainiel Msuya anashikilia rekodi ya kuwa kanali wa kwanza Barani Afrika kuchukua mji mkuu wa inchi ingine pale alipoitwaa Kampala toka majeshi ya Amini! Kanali Msuya baada ya kuingia Kampala alienda hadi hospitali ya Mengo kuwajualia hali vijana wake walio jeruhiwa!

Kanali Nshimanyi-Huyu na vijana wake waliwahi tekwa na majeshi ya Amin kabla hajatoroka!Simulizi zaidi baadae!!
 
Lengo la kwanza la JWTZ kwenye vita ile ilikuwa kuyaondoa majeshi ya Uganda kwenye mipaka yetu:

Majeshi ya TZ kwa mara ya kwanza yalijikusanya kwenys mpaka wa Mutukula chini ya Kanali Yunus Abdallah(RIP)aliyekuwa ndiye msemaji mkuu uwanja wa mapambano!

Mkuu wa mipango mbinu alikuwa Brigedier Chitete"Super sonic(RIP)aliyepewa jina hilo kutokana na tabia yake ya kuwazukia ghafla vijana wake tena kwa miguu kukagua maandalizi! Chitete alifariki kwa ajali ya gari mjini Dar

Kanali Lusimbi"Afande radi" akawasili pia Mutukula mapema kutayarisha mikakati ya mizinga ya kurusha ya masafa marefu na mafupi!

Pia aliyewasili mapem kutengeneza njia alikuwa kanali Lupembe aliyefika mapema kuongoza kamandi ya uchunguzi!

Mwishoni akafika mkuu wa uhandisi JWTZ kanali R. R .R .Rajabu(RIP)!Alifika mapema Kambini Kaboya kupiga mahesabu jinsi ya kurekebisha miundo mbinu iliyo haribiwa na itakayo haribiwa!

Baadae ndipo ikatumwa taarifa Lugalo kuwa maandalizi yote Mutukula yamekamilik na wakuu wa vikosi wakaanza kuwasili tayari kumpiga Nduli!Waliofika Kanazi mapema ni:
1.Major General Kiwelu(Mkuu wa awali uwanja wa mapambano kabla hajarudishwa Dar na kuletwa "mvuta kiko"General Musuguri

2.Brigedier Imran Kombe"Kamanda Ngono"(RIP) huyu aliongoza kamandi ngumu kuvuka mto Ngoni na kukutana na upinzani mkali sana!General Kombe aliuawa hivi karibuni eti mwizi wa magari!

3.Brigedier Mayunga"Mti Mkavu"(RIP) kutokana na tabia yake ya kuwa na mkongojo kila atembeapo

Kuna makamanda zaidi ya 22 waliofika mapema uwanja wa mapambano na tutaendelea kuwataja baadae

NB!Kanali Tumainiel Msuya anashikilia rekodi ya kuwa kanali wa kwanza Barani Afrika kuchukua mji mkuu wa inchi ingine pale alipoitwaa Kampala toka majeshi ya Amini! Kanali Msuya baada ya kuingia Kampala alienda hadi hospitali ya Mengo kuwajualia hali vijana wake walio jeruhiwa!

Kanali Nshimanyi-Huyu na vijana wake waliwahi tekwa na majeshi ya Amin kabla hajatoroka!Simulizi zaidi baadae!!

Mkuu Malafyale, mbona hukurudi tena hapa? Au masuala ya Kilimo yamekubana?
Tafuta muda umalizie mtiririko huu.
 
Mkuu, nakubaliana na wewe. Inawezekana hawataki kuzungumza kwa sababu ya kutotaka kurejea waliyoshuhudia. Lakini kwa kwa mujibu wa sheria za kijeshi, miaka 30 baada ya vita, mshiriki yeyote wa vita hiyo ana haki ya "kuanika" mambo yalivyokuwa. Hawa makamanda wanaokataa kuzungumza sasa, nadhani ni urasimu tu na kasumba ya "usiri" iliyo mioyoni na vichwani mwa Watanzania wengi.

Mkuu Manyerere vipi huu mpango wako wa kupata taarifa kutoka kwa Makamanda waliostaafu ulifanikiwa?
Kama ndiyo tupe angalau.
 
General musuguri bado yuko, sijui mwandishi gani wa Tanzania atajitolea kwenda kupata mawili matatu kuhusu historian ya vita vya Uganda. Japo uzee ushaanza kumsumbua. Bado kumbukumbu sake ziko vizuri sana.
 
Mkuu Malafyale, mbona hukurudi tena hapa? Au masuala ya Kilimo yamekubana?
Tafuta muda umalizie mtiririko huu.
Nitarudi mkuu
Juzi nilikuwa na Brigedia Mwakalindile aliyekuwa mkuu wa komandi ya JWTZ kikosi maalum cha mawasiliano na baada ya matayarisho makubwa Mutukula baadae akarudishwa Dar then Msumbiji kuongoza majeshi ya ukombozi huko!Mzee Mwakalindile ana afya nzuri bado

Aliyechukua nafasi yake Brigedier Lupembe kafariki hivi karibuni
 
Nitarudi mkuu
Juzi nilikuwa na Brigedia Mwakalindile aliyekuwa mkuu wa komandi ya JWTZ kikosi maalum cha mawasiliano na baada ya matayarisho makubwa Mutukula baadae akarudishwa Dar then Msumbiji kuongoza majeshi ya ukombozi huko!Mzee Mwakalindile ana afya nzuri bado

Aliyechukua nafasi yake Brigedier Lupembe kafariki hivi karibuni
Nenda mkuu, tunakusubiria.
 
Nitarudi mkuu
Juzi nilikuwa na Brigedia Mwakalindile aliyekuwa mkuu wa komandi ya JWTZ kikosi maalum cha mawasiliano na baada ya matayarisho makubwa Mutukula baadae akarudishwa Dar then Msumbiji kuongoza majeshi ya ukombozi huko!Mzee Mwakalindile ana afya nzuri bado

Aliyechukua nafasi yake Brigedier Lupembe kafariki hivi karibuni
Mkuu usipotee sana tuletee hizi habari nilizaliwa miaka hii RIP baba yangu akiwa vitani kafariki na uzee
 
Lengo la kwanza la JWTZ kwenye vita ile ilikuwa kuyaondoa majeshi ya Uganda kwenye mipaka yetu:

Majeshi ya TZ kwa mara ya kwanza yalijikusanya kwenys mpaka wa Mutukula chini ya Kanali Yunus Abdallah(RIP)aliyekuwa ndiye msemaji mkuu uwanja wa mapambano!

Mkuu wa mipango mbinu alikuwa Brigedier Chitete"Super sonic(RIP)aliyepewa jina hilo kutokana na tabia yake ya kuwazukia ghafla vijana wake tena kwa miguu kukagua maandalizi! Chitete alifariki kwa ajali ya gari mjini Dar

Kanali Lusimbi"Afande radi" akawasili pia Mutukula mapema kutayarisha mikakati ya mizinga ya kurusha ya masafa marefu na mafupi!

Pia aliyewasili mapem kutengeneza njia alikuwa kanali Lupembe aliyefika mapema kuongoza kamandi ya uchunguzi!

Mwishoni akafika mkuu wa uhandisi JWTZ kanali R. R .R .Rajabu(RIP)!Alifika mapema Kambini Kaboya kupiga mahesabu jinsi ya kurekebisha miundo mbinu iliyo haribiwa na itakayo haribiwa!

Baadae ndipo ikatumwa taarifa Lugalo kuwa maandalizi yote Mutukula yamekamilik na wakuu wa vikosi wakaanza kuwasili tayari kumpiga Nduli!Waliofika Kanazi mapema ni:
1.Major General Kiwelu(Mkuu wa awali uwanja wa mapambano kabla hajarudishwa Dar na kuletwa "mvuta kiko"General Musuguri

2.Brigedier Imran Kombe"Kamanda Ngono"(RIP) huyu aliongoza kamandi ngumu kuvuka mto Ngoni na kukutana na upinzani mkali sana!General Kombe aliuawa hivi karibuni eti mwizi wa magari!

3.Brigedier Mayunga"Mti Mkavu"(RIP) kutokana na tabia yake ya kuwa na mkongojo kila atembeapo

Kuna makamanda zaidi ya 22 waliofika mapema uwanja wa mapambano na tutaendelea kuwataja baadae

NB!Kanali Tumainiel Msuya anashikilia rekodi ya kuwa kanali wa kwanza Barani Afrika kuchukua mji mkuu wa inchi ingine pale alipoitwaa Kampala toka majeshi ya Amini! Kanali Msuya baada ya kuingia Kampala alienda hadi hospitali ya Mengo kuwajualia hali vijana wake walio jeruhiwa!

Kanali Nshimanyi-Huyu na vijana wake waliwahi tekwa na majeshi ya Amin kabla hajatoroka!Simulizi zaidi baadae!!
 
General musuguri bado yuko, sijui mwandishi gani wa Tanzania atajitolea kwenda kupata mawili matatu kuhusu historian ya vita vya Uganda. Japo uzee ushaanza kumsumbua. Bado kumbukumbu sake ziko vizuri sana.
Gen Mu
Mbona bado hatujapata historia ya hawa wetu? kama uzi ulivyoanza?anayefahamu tunaomba atujuze jamani historia ya hao mashujaa wetu,Abdalla Twalipo,na Tumainiel Kiwelu,kwa mara ya mwisho awmu ya iii alikuwa mkuu wa mkoa wetu Shinyanga.
Historia zao zimeshatolewa sana JF ni wewe tu namna ya kuzitafuta zipo tena nzuri sana.

Tumia mtandao vizuri utazipata tu tena kiundani kabisa.
 
Hatujapata kiongozi asiye mung'unya maneno kama Mwalimu hadi hii leo, hasa in times of contoversy.
Lakini uwezo wake ni jinsi wananchi hata wa kawaida kabisa walivyomuelewa na kulichukulia tatizo la kuvamiwa kwa uzito unaostahili.
800px-1372_bm_21_grad.JPG

BM-21 Grad multiple rocket launcher system(katyusha)



BM-21 tulikuwa nayo mkuu na ilikuwepo sana ikionekana mitaani ikielekea huko vitani.
Ni siku hizi tu inaelekea iko stoo.
Hii ndo iliyokuwa ikilipuka gongo la mboto
 
General musuguri bado yuko, sijui mwandishi gani wa Tanzania atajitolea kwenda kupata mawili matatu kuhusu historian ya vita vya Uganda. Japo uzee ushaanza kumsumbua. Bado kumbukumbu sake ziko vizuri sana.
Mkuu km una nia bora ujiandae wewe.Uandae maswali na mbinu za kupata the best out him,kisha uende. Hapa bongo hakuna mwandishi, wote ni makanjanja wa serikali ya ccm ndio maana assets za nchi zinapotea,watu mashuhuri wanakufa na mengi bila kuwekwa ktk maandishi km assets kwa taifa.CCM wanaweka uchafu ktk mashelf ya nchi. Hata wakienda wataenda jichekesha chekesha,hawatauliza maswali fulanifulani kwa vile hawapo sure km yatamuudhi na wao wanataka jipendekeza. Kumbe kuna maswali unaweza muuliza magumu,ila hata yeye akafurahi baadae akiyajibu.
 
ilikuaje sikuuona uzi muhimu namna hii? napata raha na faraja kubwa kusoma jinsi mashujaa na wazalendo wetu walivyopambana kulilinda taifa letu hili.
 
Kweli kabisa kitabu hicho kina maelezo ya kina kuhusu vita vya Kagera na na makamanda wetu. Nilikisoma kitambo sana na nilikuwa impressed sana na Ben Msuya alivyokuwa akiongoza kikosi chake.
Wapi naweza kukipata Ndugu?
 
Back
Top Bottom