hiyo ndio ilikuwa siku yake harusi kwa wale ambao hamjafahamu vizuriTunapenda kumpongeza Mh. Abas Byabusha kwa kupata nafasi ya Uenyekiti wa Chadema Marekani nzima. Mh. Byabusha pia ni Banker amekuwa mstri wa mbele katika kuijenga Chadema Marekani. Hongera sana kaka yetu tupo nawe pamoja Amen.View attachment 57941Karibu kwetu PA