Aaargh...! Tuambiane tu ukweli. Si wanawake wote wanapenda Nanii Kubwa.

Ma Mshuza

Senior Member
Feb 26, 2019
192
1,021
Niende moja kwa moja kwenye point. Moja ya changamoto kubwa ambayo wanawake wa siku hizi tumekuwa nayo ni kutongozwa na vitoto vidogo... Yaani kanakufuata kamtu private kuku text mpaka unajisikia kichefuchefu.

Kananuka maziwa bado, kamejaa chunusi usoni kanalambalamba midomo kanakwambia "naomba tuwe pamoja mimi ntakufurahisha nina mashine kubwa" yaani hapo unajua tu haka kalitakiwa kawe shule.kamefail kuendelea na masomo kanashinda JF Kutaka kulelewa.

Mwanaume hatongozi hivyo nyie wavulana. Hatongozi hivyo hata siku moja kwa mwanamke decent. Hivyo waambieni wale wanawake wenye uwazi ambao washaharibikiwa. Unapomwambia hivyo mwanamke anayejielewa anakudharau sana.

Si wanawake wote wanapenda mwanaume awe na nanii kubwa.na niwaambie tu wala ukubwa hauhusiani na raha. Raha ya tendo inatokana na hisia na maandalizi. Imagine ukiingiza nchi 2 tu mwanamke anamaliza kama anakupenda na anahisia hizo.

Sasa wewe baki na hiyo mashine kubwa ukidhani eti ndo kitega uchumi.huo ni umalaya wa kiume tu kama malaya wa kike.jifunzeni kupendeka wakaka... Acheni longo longo...ooh.... Sijui mimi nina pesa, sijui mimi ni nani... So what?khaaaah.hata haya hamwoni.

Shauri zenu msije sema Ma Mshuza sijui nini.... Mi huwa nasema tu yaliyopo kama una mind shaurilo.hainihusu.mwanamke akikupenda, akiwa na hisia nawe hata ukimnyonya tu maziwa ana come.

Ukimkumbatia tu analoana, ukimsemesha tu ananyegeka... Wala haihitaji nguvu. Asikudanganye mtu eti ukisugua nusu saa au saa nzima ndo anamaliza.dka tatu hadi 10 nyingi sana.wengine tushamaliza na tunaweza maliza tena au pumzika.

Tumia congo kwa mwanamke malaya....mwanamke decent unga wa kongo wa nini?umchubue tu ndani na kumsababishia maradhi. Wanawake wa siku hizi mna mashimo wadogo zangu. Milimbombo imeingia aina na aina... Mtaponaje hapo? Kwa nini msije sema vibamia? Akha. Ya nini yote hayo. Tunza mama tunza ....
 
Saa nyingine ukichaa nao dili kwa kweli. Mmama kuyamwaga haya masomo kwa wenzio bure bila malipo nayo ni ukichaa. Anzisha shule ya michezo chakavu nadhani utabeba wanafunzi wengi sana.
Aksante kwa kuwakemea hawa watoto wa rika hili wanaowaharibia wazee michoro yao. Waambie wawaendee watoto wenzao wakiharibiana .huko watamaliza wenyewe'.
Atii, Nina mashine kubwa, wadhani ni za kupasua kokoto?? Ukubwa si hoja, bali kare "Karufundi" ndio hoja. Na hako karufundi kako kwetu wazee
 
Niende moja kwa moja kwenye point. Moja ya changamoto kubwa ambayo wanawake wa siku hizi tumekuwa nayo ni kutongozwa na vitoto vidogo... Yaani kanakufuata kamtu private kuku text mpaka unajisikia kichefuchefu.

Kananuka maziwa bado, kamejaa chunusi usoni kanalambalamba midomo kanakwambia "naomba tuwe pamoja mimi ntakufurahisha nina mashine kubwa" yaani hapo unajua tu haka kalitakiwa kawe shule.kamefail kuendelea na masomo kanashinda JF Kutaka kulelewa.

Mwanaume hatongozi hivyo nyie wavulana. Hatongozi hivyo hata siku moja kwa mwanamke decent. Hivyo waambieni wale wanawake wenye uwazi ambao washaharibikiwa. Unapomwambia hivyo mwanamke anayejielewa anakudharau sana.

Si wanawake wote wanapenda mwanaume awe na nanii kubwa.na niwaambie tu wala ukubwa hauhusiani na raha. Raha ya tendo inatokana na hisia na maandalizi. Imagine ukiingiza nchi 2 tu mwanamke anamaliza kama anakupenda na anahisia hizo.

Sasa wewe baki na hiyo mashine kubwa ukidhani eti ndo kitega uchumi.huo ni umalaya wa kiume tu kama malaya wa kike.jifunzeni kupendeka wakaka... Acheni longo longo...ooh.... Sijui mimi nina pesa, sijui mimi ni nani... So what?khaaaah.hata haya hamwoni.

Shauri zenu msije sema Ma Mshuza sijui nini.... Mi huwa nasema tu yaliyopo kama una mind shaurilo.hainihusu.mwanamke akikupenda, akiwa na hisia nawe hata ukimnyonya tu maziwa ana come.

Ukimkumbatia tu analoana, ukimsemesha tu ananyegeka... Wala haihitaji nguvu. Asikudanganye mtu eti ukisugua nusu saa au saa nzima ndo anamaliza.dka tatu hadi 10 nyingi sana.wengine tushamaliza na tunaweza maliza tena au pumzika.

Tumia congo kwa mwanamke malaya....mwanamke decent unga wa kongo wa nini?umchubue tu ndani na kumsababishia maradhi. Wanawake wa siku hizi mna mashimo wadogo zangu. Milimbombo imeingia aina na aina... Mtaponaje hapo? Kwa nini msije sema vibamia? Akha. Ya nini yote hayo. Tunza mama tunza ....
Wa sasa wanaanza kuingiziwa wakiwa below 15yrs sasa kuanzia hapo anakutana na aina tofauti za mashine mwisho hisia zake zinakua si kwa mapenzi ni kwenda tu bola break,uwende 1hr ni juhudi zako tu mwanaume
 
Niende moja kwa moja kwenye point. Moja ya changamoto kubwa ambayo wanawake wa siku hizi tumekuwa nayo ni kutongozwa na vitoto vidogo... Yaani kanakufuata kamtu private kuku text mpaka unajisikia kichefuchefu.

Kananuka maziwa bado, kamejaa chunusi usoni kanalambalamba midomo kanakwambia "naomba tuwe pamoja mimi ntakufurahisha nina mashine kubwa" yaani hapo unajua tu haka kalitakiwa kawe shule.kamefail kuendelea na masomo kanashinda JF Kutaka kulelewa.

Mwanaume hatongozi hivyo nyie wavulana. Hatongozi hivyo hata siku moja kwa mwanamke decent. Hivyo waambieni wale wanawake wenye uwazi ambao washaharibikiwa. Unapomwambia hivyo mwanamke anayejielewa anakudharau sana.

Si wanawake wote wanapenda mwanaume awe na nanii kubwa.na niwaambie tu wala ukubwa hauhusiani na raha. Raha ya tendo inatokana na hisia na maandalizi. Imagine ukiingiza nchi 2 tu mwanamke anamaliza kama anakupenda na anahisia hizo.

Sasa wewe baki na hiyo mashine kubwa ukidhani eti ndo kitega uchumi.huo ni umalaya wa kiume tu kama malaya wa kike.jifunzeni kupendeka wakaka... Acheni longo longo...ooh.... Sijui mimi nina pesa, sijui mimi ni nani... So what?khaaaah.hata haya hamwoni.

Shauri zenu msije sema Ma Mshuza sijui nini.... Mi huwa nasema tu yaliyopo kama una mind shaurilo.hainihusu.mwanamke akikupenda, akiwa na hisia nawe hata ukimnyonya tu maziwa ana come.

Ukimkumbatia tu analoana, ukimsemesha tu ananyegeka... Wala haihitaji nguvu. Asikudanganye mtu eti ukisugua nusu saa au saa nzima ndo anamaliza.dka tatu hadi 10 nyingi sana.wengine tushamaliza na tunaweza maliza tena au pumzika.

Tumia congo kwa mwanamke malaya....mwanamke decent unga wa kongo wa nini?umchubue tu ndani na kumsababishia maradhi. Wanawake wa siku hizi mna mashimo wadogo zangu. Milimbombo imeingia aina na aina... Mtaponaje hapo? Kwa nini msije sema vibamia? Akha. Ya nini yote hayo. Tunza mama tunza ....
Nchi 2 si itaishia kwenye mashavu tu
 
Back
Top Bottom