Na Amekuachia Uzito!!
Ukifikia hapo mwanangu Majigo jionee huruma. Hata nami nakuonea huruma kama umefika hapo. Ukweli ni kwamba unaweza kujinasua bado hasa ukizingatia kuwa huyo siyo pekee duniani. Vinginevyo kama unatafuta aondoe roho yako endelea na mapenzi hayo ya ajabu na kipumbavu.
Inauma sanasanasana! NASEMA inpain kichizi watu wanapigia kura sisiem usawa wa mwaka 2012 ambao ni 51 years baada ya uhuru, hawajafanza lolote na they won't. Inaniuma sana kwa kata tulizopoteza jana! Una akili kweli kuipigia sisiem kura? INANIUMA....
Inaniuma sanaaaa mwanaume nampenda ila inabidi nimcharge hela ya matuzo for insurance n depreciation of kidude
Inaniuma sanaaa napojituma kukatika na kubinuka mwisho wa game napewa misifa mitupu bila misimbazi kuongezeka
Inaniuma sanaaa kumachaji mtu kwa K ila usipomchaji anakuona sooo cheap na kutaka kama dozi, cha bure pokea tuu.
Inaniuma snaaaa kuona MKE Bombaaa mwenye adabu zake afu mumewe kutwa kunifukuzia, nikimpita yule mke haachi kunisalimu, "hujambo binti yangu mzuri? Ufike salama uendako!"
Inaniumaaa sana kula pesa ya mtu ilahali najua simpi kitu!!!!! Nisipopokea ndo balaa maana anaweza kunywa sumu, manake yeye nimemkataa na pesa yake pia!!!!!!
Inaniuma sanaaaa mwanaume nampenda ila inabidi nimcharge hela ya matuzo for insurance n depreciation of kidude
Inaniuma sanaaa napojituma kukatika na kubinuka mwisho wa game napewa misifa mitupu bila misimbazi kuongezeka
Inaniuma sanaaa kumachaji mtu kwa K ila usipomchaji anakuona sooo cheap na kutaka kama dozi, cha bure pokea tuu.
Inaniuma snaaaa kuona MKE Bombaaa mwenye adabu zake afu mumewe kutwa kunifukuzia, nikimpita yule mke haachi kunisalimu, "hujambo binti yangu mzuri? Ufike salama uendako!"
Inaniumaaa sana kula pesa ya mtu ilahali najua simpi kitu!!!!! Nisipopokea ndo balaa maana anaweza kunywa sumu, manake yeye nimemkataa na pesa yake pia!!!!!!
Huna Haki Ya Kuumia Mwayah!
Hakukuhusu Yule!!
Lol!
inauma sana pale unapo kwenda kuchukua jibu kwa demu uliye mfukuzia siku nyngi, akakuzungusha na siku aliyokuahidi ukachuke jibu unakuta wametenga msiba kwako ukiuliza unaambiwa demu kafariki ghafla..........