Michael Scofield
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 1,225
- 471
Kwa sababu umejiita we ni mtamu ndio tunataka utujuze utamu wa ke au me?Nimewasoma wakuu! ila, nataka kujua kwanza why asking ths?
Kwa sababu umejiita we ni mtamu ndio tunataka utujuze utamu wa ke au me?Nimewasoma wakuu! ila, nataka kujua kwanza why asking ths?
Kama lina kuboa lipotezee tu, likitokea zima tv. Nadhani hili liko ndani ya uwezo wako. Pole sana mkuu!
Kwa sababu umejiita we ni mtamu ndio tunataka utujuze utamu wa ke au me?
Nimewasoma wakuu! ila, nataka kujua kwanza why asking ths?
Nadhani 80% ya wanaoliona huwa hawalipendi
Ahaaa.. kwa kifupi hilo ni jina langu halisi, nadhani umenipata.
wana yao hao
Kwa hiyo ni ke au me hilo jina linasisimua
Kujua jinsia ya member mwenzio si vibaya, dada kabakabana!wana yao hao
siunajua jamii ya kicamerun kuchekacheka kwao kawaida
kwa bongo Kanumba ni star lazima asemwe kwa mabaya na mazuri ,sioni tatizo la kanumba kwenye lile tangazo bali wahusika wa startimes wanatakiwa walibadilishe sababu muda umepita,sasa Kanumba shida yake nini? kuna watu wanaishi mjini hapa sababu ya sanaa ya Kanumba kama unabisha kawaulize wahindi pale Kariakoo...hivi KANUMBA ALIWAKOSEA NINI? success belongs to the one who understand that discouragement is the fillip to succeed
upupu mtupu...nikiendelea nitakutukana bureee...kwa bongo Kanumba ni star lazima asemwe kwa mabaya na mazuri ,sioni tatizo la kanumba kwenye lile tangazo bali wahusika wa startimes wanatakiwa walibadilishe sababu muda umepita,sasa Kanumba shida yake nini? kuna watu wanaishi mjini hapa sababu ya sanaa ya Kanumba kama unabisha kawaulize wahindi pale Kariakoo...hivi KANUMBA ALIWAKOSEA NINI? success belongs to the one who understand that discouragement is the fillip to succeed