nderingosha
JF-Expert Member
- Mar 20, 2011
- 4,281
- 3,243
Ukisoma hiki kitabu utashangaa ni kwanini mpaka leo hii serikali hii ya TZ imeshindwa kuwakamata Chenge na Idris Rashid na kuwasweka ndani kwa wizi wa pesa za rada na ndege ya rais.....mpaka watu wameandika kitabu juu ya ufisadi wa watu hawa!!kweli only in TZ yaani....kina Somaiya wao wamesepa lakini kina Chenge wako huru TZ huku wakionekana waheshimiwa wakubwa........
Publisher's description:
Reveals the corruption and the cover-ups behind weapons deals ranging from the largest in history - between the British and Saudi governments - to BAE's controversial transactions in South Africa, Tanzania and eastern Europe, and the revolving-door relationships that characterise the US Congressional-Military-Industrial Complex.Publisher's description:
Sources:1]Shadow World - Andrew Feinstein - 9780241144411
2]Book gives insight into stinking radar, jet deals