Peculiar
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 821
- 689
Aisee! Sasa mkuu ikiwa Mungu ana/mepanga kila kitu kwani unasema Atheist wameniweza? Na ikiwa amepanga kila kitu basi yeye si hakimu muadilifu kama anavyodai. kwanini wengine wapangiwe kuongoka na wengine kupotoka? kwanini wengine wapangiwe kwenda motoni na wengine peponi? Ivi ni kweli Allah (sw) anaupendeleo?
Mungu anaweza kuwepo lakini si anaeongelewa na wakiristo na waislam.
Kila mtu anamtazamo wake kuhusu kuwepo hapa duniani.
Mungu wa kweli yupo.
Ila kuna miungu ya kuzushwa!
Hata filauni alijiita mungu.je, ni mungu? Mungu hafi.