Mashaxizo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 6,707
- 3,332
Habari za hapa.
Nimefanya research juu ya ukweli wa dini na uwepo wa Mungu hasa Mungu anaeongelewa na wakiristo na waislamu.
Ktk utafiti huo nimegundua mushkel mwingi SANA kuhusiana na dini hizo na suala la uwepo wa Mungu in general as it preached by Muslims and Christians.
My be I'm wrong thus why nimeweka hoja hapa ili mwenye uelewa anieleweshe na pia aweze kujibu maswali. Lengo langu ni kutambua ukweli na sio kuleta ubishi usio na tija. so nakaribisha maswali na pia nasistiza wale wasio na hoja wajifanye kama hawajauona uzi huu.
HAYA NI MAMBO NILIOYAONA KTK UTAFITI WANGU:
1. Dini ziko nyingi (ni zaidi ya 30 na hapo hujagusia madhehebu!!) but licha ya uwingi huo kila dini inajiona iko sahihi ZAIDI ya nyengine. It cant be all religions are true but there possibility all of them are wrong.
2. Kwa huku Africa dini hizi tumeletewa, walioleta dini walileta ili kututawala. hope hili liko wazi, ie Uislam uliletwa na waarabu ambao walikuja kufanya utumwa na kutuuza sehem tofauti kama bidhaa tu. kiukweli tulipata shida sana. Pia ukiristo uliletwa na wakoloni ambao walikuja kuchukua malighafi na nguvu kazi zetu na kutuacha ktk hali ya utegemezi hadi leo hii.
Jee dini ya kweli inaweza kuletwa na madhalimu?
3. Qur-an and Bible (here and after refers to vitabu vitakatifu) vimecontain ukweli, uongo, many unreasonable teachings and contradictions on its/them. eg: Kwamba dunia ni flat, imetulia na jua ndilo linalotembea kutoka mashariki kwenda magaribi. (hope mnautambua uongo huo but if hujatambua hilo niambie nikuekee ushahidi ili tuende sawa)
Pia dini zinaruhusu mtoto wa kike kuolewa na kuingiliwa hata kama hajavunja ungo!!!! (pia naweza kuthibitisha hilo) na mengi mengineyo. (just put a number and tell me which no. you don't agree)
4. Kwamba mitume na manabii wote wametoka FAR EAST. kwamba around north Africa and western Asia. no more. (Ikiwa unaushahidi hata wa maandiko tu kupitia vitabu vitakatifu unaoonesha uwepo wa mitume apart from far east ningependa unitoe haya matongo)
Jee Mungu hakutaka kuabudiwa na watu kutoka Southern Africans? China? Korea? Northern Europe? North and Southern America? Australia?
5. Vitabu vitakatifu vinatafsiriwa kisiasa zaidi ili kuzibia errors ambazo Mungu aliacha kwenye vitabu hivyo! Eg: Mungu ameweka wazi kwenye vitabu vitakatifu kwamba jua linazama kwenye matope but Muslims wanasaidia majibu kwamba ni Red sea! wanaact kana kwamba Mungu hajui kusema Red sea! unapoulizia kuhusu jua kutembea kutoka mashariki kwenda magharibi na suala la kwamba dunia ni flat hapo unaambiwa Mungu ameielezea dunia kama ambavyo sisi tunaiona!!!
But wakati huo huo tunaambiwa vitabu vitakatifu vinaendana na nyakati!!! kwamba hata mambo ya kisansi yameongelewa mle toka enzi na enzi ambayo practise zake zinatokea sasa! Hapo unaweza kuuliza mbona hizo scientific findings hazikuongelewa kama sisi tunavyoona? Issue inakuja kwamba kwenye bible ni hivyo hivyo na kwenye Quran ni hivyo hivyo wakati hizo dini zinapingana vilivyo hadi kufikia kuitana magaidi na makafiri!!!! (Hapa nnamifano mingi tu na ushahidi just put a number and request me to proof)
6. Dini ya mtu inatokana na namna ya wazazi and/or walezi walivyomlea. hapa ningependa kueka wazi kwamba si kila dini or imani ya mtu ni zao la wazazi but ni wachache sana wanaoamini dini or imani ambayo hawakufunzwa na wazazi wao. kwa makadirio ni asilimia 5 tu ya wanaoamini kinyume na mafundisho ya wazazi wao. na kati ya hao, wengi wamebadili imani kutokana na mapenzi (romantic love) na kipato/pesa. ni wachache sana walioamini dini nyengine kwa kutumia their logic reasoning na findings. Hata wewe unaesoma hapa unaamini hicho unachokiamini kwa sababu tu wazazi and/or walezi wako wametokea imani hiyo, nothing more. and you cant fight against reality.
Jee wazazi/walezi wote wako sahihi na imani wanazowapachika watoto wao?
7. Sifa anazopewa/anazojipa Mungu ni za uongo.
a) Mungu nimuweza wa yote. Kwanini haifanyi dunia kua sehwm salama? Kwanini mauaji? Kwanini unyama? Si anaweza yote? kwanini hazuii? For what? Ivi apa hamuoni ni sawa na mtu anaekwambia anapesa but ukimwambia nioneshe anakwambia nimeziacha nyumbani???
b) Mungu ni mpangaji wa kila kitu.
Nadharia hii jiliipinga wakati naamini na nilitetea kwamba Mungu anajua tu ila hapangi but niliambiwa napingana na maandiko. na kweli nilipewa ushahidi wa wa Maandiko Kwamba Mungu akimpangia mtu kupotoka hakuna wa kumuongoa na aliemuongoa hakuna wa kumpotosha!!!!
So ikiwa amepanga kila kitu kwanini aje aadhibu then?
Jee Mungu anaupendeleo? Sasa kwanini atupungie yeye matendo yetu? kwanini asituache tukaact by our own free will?
c) Mungu ni mkamilifu.
Kwanini anaumba vilema? Matahira? Wamemkosa nini hao? Au ukamilifu wake uko limited kwa baadhi ya vitu tu? Au vilema na matahira wameumbwa na nani?
d) Anapenda watu wote. Kwanini wengine wanahangaika sana? Kwanini wengine wanadhulumiwa sana? ukumbuke yeye ni mueza wa kila kitu.
Then kama anapenda kila mtu kwa nini ameahidi tabu na mashaka kwa vizazi vya Izrael kwa makosa ya mababu zao? Hawa wanaozaliwa sasa wamemkosea nini?
HOW UNREASONABLENESS GOD HE IS?
Sifa za uongo anazonyingi but let me skip and wait somebody who is interested on that point.
8. Ukweli juu ya Astrology. Astrology ni uhusiano wa mizunguko ya sayari na tabia za mtu kwa kuzingatia tarehe na saa aliyozaliwa. Najua hili ni somo geni kwa wengi wetu humu. but not an issue, ili nawe ujue ukweli wa astrology nitaweka link just put your information as it required on the given link so as to comment on this point.
https://alabe.com/freechart/
Hapo utagundua nini kimeinfluence tabia zako. Na kwa mantiki hiyo unapata jibu si kila unavyofanya or ulivyoepangiwa na Mungu also utajua si Mungu pekee anaeijua kesho ikizingatia alishasema hakuna anaeijua kesho. Ningependa kupokea hoja kwa point hii kwa mtu alietoa uvivu na kuingia humo. Narudia tena sipendi ubishi wa kiji.nga.
9. Miujiza na maono waliyokuwa nayo mitume ni uwezo alionao kila mwanadamu.
Inaaminika mitume waliweza kuota ndoto za kweli pia waliweza kutafsiri ndoto za wengine.
Waliweza kutabiri mambo yajayo pia waliweza kuelezea mambo mengi yaliyopita.
Pia waliweza kufanya miujiza tofauti tofauti.
Watu wengi hudhani yale ni Miujiza kutoka kwa Mungu kitu ambacho sio kweli, it just how they succeed to activate their pineal gland. Pineal gland ni part ya ubongo iliopo kati lakini chini ya ubongo wa kila mwanadamu. ingia ata google uone picha. Ukiweza kuactivate pineal gland unafungua nguvu zako za maono na miujiza. pineal gland kwa kishwahili wanaita jicho la tatu.
Ile miujiza sijui maono just ni psychic powers ambazo kila binadamu anazo sema zinatofautiana tu kidogo.
Wakiristo wengi huibiwa pesa zao makanisani kwa nguvu hizi. then ata biblia imegusia ili somo sema tu watu tuwavivu wa kusoma. always tunakarirshwa machache ili wajanja wale vyao bila tabu.
Namna ya kuactivate jicho la tatu ni kumeditate (tahajudi/kusali), hata Yesu inaaminika alikua akisali. wakiristo hawajiulizi huyu Mungu alikua akimsalia nani? Yeye si ni Mungu, si angefanya tu mambo yake bila ya kusali. ukija kwa uislamu tunaambiwa Muhammad alikua akienda milimani kusali kabla ya kupewa utume. tunaambiwa alipofatwa na mfalme najash ili kuthibitisha utume wake alisali kwanza, mifano ni mengi na inaanzia kwa ibrahim.
Point hapa ni kwamba wale waliodevelop vizuri pineal gland zao na kujitangazia utume ndio mitume iliyoorodheshwa kwenye vitabu. pia ikumbukwe ilifikia uwepo wa mitume miwili kwa wakati mmoja na ilitokea mtoto alikua mtume, baba yake alikua mtume, babu yake alikua mtume na yeye mwenyewe akazaa mtume. hiyo iko kwenye biblia na quran too. (anaepinga naweka ushahidi)
Nisiwachoshe sana. hivyo ndivyo nilivyogungua kwenye reseach yangu.
Yoyote mwenye kupinga naskiliza hoja yake.
Nimefanya research juu ya ukweli wa dini na uwepo wa Mungu hasa Mungu anaeongelewa na wakiristo na waislamu.
Ktk utafiti huo nimegundua mushkel mwingi SANA kuhusiana na dini hizo na suala la uwepo wa Mungu in general as it preached by Muslims and Christians.
My be I'm wrong thus why nimeweka hoja hapa ili mwenye uelewa anieleweshe na pia aweze kujibu maswali. Lengo langu ni kutambua ukweli na sio kuleta ubishi usio na tija. so nakaribisha maswali na pia nasistiza wale wasio na hoja wajifanye kama hawajauona uzi huu.
HAYA NI MAMBO NILIOYAONA KTK UTAFITI WANGU:
1. Dini ziko nyingi (ni zaidi ya 30 na hapo hujagusia madhehebu!!) but licha ya uwingi huo kila dini inajiona iko sahihi ZAIDI ya nyengine. It cant be all religions are true but there possibility all of them are wrong.
2. Kwa huku Africa dini hizi tumeletewa, walioleta dini walileta ili kututawala. hope hili liko wazi, ie Uislam uliletwa na waarabu ambao walikuja kufanya utumwa na kutuuza sehem tofauti kama bidhaa tu. kiukweli tulipata shida sana. Pia ukiristo uliletwa na wakoloni ambao walikuja kuchukua malighafi na nguvu kazi zetu na kutuacha ktk hali ya utegemezi hadi leo hii.
Jee dini ya kweli inaweza kuletwa na madhalimu?
3. Qur-an and Bible (here and after refers to vitabu vitakatifu) vimecontain ukweli, uongo, many unreasonable teachings and contradictions on its/them. eg: Kwamba dunia ni flat, imetulia na jua ndilo linalotembea kutoka mashariki kwenda magaribi. (hope mnautambua uongo huo but if hujatambua hilo niambie nikuekee ushahidi ili tuende sawa)
Pia dini zinaruhusu mtoto wa kike kuolewa na kuingiliwa hata kama hajavunja ungo!!!! (pia naweza kuthibitisha hilo) na mengi mengineyo. (just put a number and tell me which no. you don't agree)
4. Kwamba mitume na manabii wote wametoka FAR EAST. kwamba around north Africa and western Asia. no more. (Ikiwa unaushahidi hata wa maandiko tu kupitia vitabu vitakatifu unaoonesha uwepo wa mitume apart from far east ningependa unitoe haya matongo)
Jee Mungu hakutaka kuabudiwa na watu kutoka Southern Africans? China? Korea? Northern Europe? North and Southern America? Australia?
5. Vitabu vitakatifu vinatafsiriwa kisiasa zaidi ili kuzibia errors ambazo Mungu aliacha kwenye vitabu hivyo! Eg: Mungu ameweka wazi kwenye vitabu vitakatifu kwamba jua linazama kwenye matope but Muslims wanasaidia majibu kwamba ni Red sea! wanaact kana kwamba Mungu hajui kusema Red sea! unapoulizia kuhusu jua kutembea kutoka mashariki kwenda magharibi na suala la kwamba dunia ni flat hapo unaambiwa Mungu ameielezea dunia kama ambavyo sisi tunaiona!!!
But wakati huo huo tunaambiwa vitabu vitakatifu vinaendana na nyakati!!! kwamba hata mambo ya kisansi yameongelewa mle toka enzi na enzi ambayo practise zake zinatokea sasa! Hapo unaweza kuuliza mbona hizo scientific findings hazikuongelewa kama sisi tunavyoona? Issue inakuja kwamba kwenye bible ni hivyo hivyo na kwenye Quran ni hivyo hivyo wakati hizo dini zinapingana vilivyo hadi kufikia kuitana magaidi na makafiri!!!! (Hapa nnamifano mingi tu na ushahidi just put a number and request me to proof)
6. Dini ya mtu inatokana na namna ya wazazi and/or walezi walivyomlea. hapa ningependa kueka wazi kwamba si kila dini or imani ya mtu ni zao la wazazi but ni wachache sana wanaoamini dini or imani ambayo hawakufunzwa na wazazi wao. kwa makadirio ni asilimia 5 tu ya wanaoamini kinyume na mafundisho ya wazazi wao. na kati ya hao, wengi wamebadili imani kutokana na mapenzi (romantic love) na kipato/pesa. ni wachache sana walioamini dini nyengine kwa kutumia their logic reasoning na findings. Hata wewe unaesoma hapa unaamini hicho unachokiamini kwa sababu tu wazazi and/or walezi wako wametokea imani hiyo, nothing more. and you cant fight against reality.
Jee wazazi/walezi wote wako sahihi na imani wanazowapachika watoto wao?
7. Sifa anazopewa/anazojipa Mungu ni za uongo.
a) Mungu nimuweza wa yote. Kwanini haifanyi dunia kua sehwm salama? Kwanini mauaji? Kwanini unyama? Si anaweza yote? kwanini hazuii? For what? Ivi apa hamuoni ni sawa na mtu anaekwambia anapesa but ukimwambia nioneshe anakwambia nimeziacha nyumbani???
b) Mungu ni mpangaji wa kila kitu.
Nadharia hii jiliipinga wakati naamini na nilitetea kwamba Mungu anajua tu ila hapangi but niliambiwa napingana na maandiko. na kweli nilipewa ushahidi wa wa Maandiko Kwamba Mungu akimpangia mtu kupotoka hakuna wa kumuongoa na aliemuongoa hakuna wa kumpotosha!!!!
So ikiwa amepanga kila kitu kwanini aje aadhibu then?
Jee Mungu anaupendeleo? Sasa kwanini atupungie yeye matendo yetu? kwanini asituache tukaact by our own free will?
c) Mungu ni mkamilifu.
Kwanini anaumba vilema? Matahira? Wamemkosa nini hao? Au ukamilifu wake uko limited kwa baadhi ya vitu tu? Au vilema na matahira wameumbwa na nani?
d) Anapenda watu wote. Kwanini wengine wanahangaika sana? Kwanini wengine wanadhulumiwa sana? ukumbuke yeye ni mueza wa kila kitu.
Then kama anapenda kila mtu kwa nini ameahidi tabu na mashaka kwa vizazi vya Izrael kwa makosa ya mababu zao? Hawa wanaozaliwa sasa wamemkosea nini?
HOW UNREASONABLENESS GOD HE IS?
Sifa za uongo anazonyingi but let me skip and wait somebody who is interested on that point.
8. Ukweli juu ya Astrology. Astrology ni uhusiano wa mizunguko ya sayari na tabia za mtu kwa kuzingatia tarehe na saa aliyozaliwa. Najua hili ni somo geni kwa wengi wetu humu. but not an issue, ili nawe ujue ukweli wa astrology nitaweka link just put your information as it required on the given link so as to comment on this point.
https://alabe.com/freechart/
Hapo utagundua nini kimeinfluence tabia zako. Na kwa mantiki hiyo unapata jibu si kila unavyofanya or ulivyoepangiwa na Mungu also utajua si Mungu pekee anaeijua kesho ikizingatia alishasema hakuna anaeijua kesho. Ningependa kupokea hoja kwa point hii kwa mtu alietoa uvivu na kuingia humo. Narudia tena sipendi ubishi wa kiji.nga.
9. Miujiza na maono waliyokuwa nayo mitume ni uwezo alionao kila mwanadamu.
Inaaminika mitume waliweza kuota ndoto za kweli pia waliweza kutafsiri ndoto za wengine.
Waliweza kutabiri mambo yajayo pia waliweza kuelezea mambo mengi yaliyopita.
Pia waliweza kufanya miujiza tofauti tofauti.
Watu wengi hudhani yale ni Miujiza kutoka kwa Mungu kitu ambacho sio kweli, it just how they succeed to activate their pineal gland. Pineal gland ni part ya ubongo iliopo kati lakini chini ya ubongo wa kila mwanadamu. ingia ata google uone picha. Ukiweza kuactivate pineal gland unafungua nguvu zako za maono na miujiza. pineal gland kwa kishwahili wanaita jicho la tatu.
Ile miujiza sijui maono just ni psychic powers ambazo kila binadamu anazo sema zinatofautiana tu kidogo.
Wakiristo wengi huibiwa pesa zao makanisani kwa nguvu hizi. then ata biblia imegusia ili somo sema tu watu tuwavivu wa kusoma. always tunakarirshwa machache ili wajanja wale vyao bila tabu.
Namna ya kuactivate jicho la tatu ni kumeditate (tahajudi/kusali), hata Yesu inaaminika alikua akisali. wakiristo hawajiulizi huyu Mungu alikua akimsalia nani? Yeye si ni Mungu, si angefanya tu mambo yake bila ya kusali. ukija kwa uislamu tunaambiwa Muhammad alikua akienda milimani kusali kabla ya kupewa utume. tunaambiwa alipofatwa na mfalme najash ili kuthibitisha utume wake alisali kwanza, mifano ni mengi na inaanzia kwa ibrahim.
Point hapa ni kwamba wale waliodevelop vizuri pineal gland zao na kujitangazia utume ndio mitume iliyoorodheshwa kwenye vitabu. pia ikumbukwe ilifikia uwepo wa mitume miwili kwa wakati mmoja na ilitokea mtoto alikua mtume, baba yake alikua mtume, babu yake alikua mtume na yeye mwenyewe akazaa mtume. hiyo iko kwenye biblia na quran too. (anaepinga naweka ushahidi)
Nisiwachoshe sana. hivyo ndivyo nilivyogungua kwenye reseach yangu.
Yoyote mwenye kupinga naskiliza hoja yake.