Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
Mkuu nakubaliana na wewe
Ni elfu kwa mmoja
Wengi ni wanafiki sana
Hivi mnafiki ni nani sasa, mbona wengi hutuhumu upande wa pili sana?? Anyways......ila kumbukeni kuwa mtu kutokuwa rafiki 'MZURI KWAKO' sio lazima awe mnafiki, kwa sababu mtu anaeza asiwe mnafiki na bado usipatane nae!!