A boy from Tandale: Albamu bora ya muda wote Tanzania

Uzuri mmoja nimetaja na vigezo
Nikweli mkuu lakini naona vigezo ulivyotaja vinazionea album za zamani kama hizo ulizotaja hapo juu MACHOZI JASHO NA DAMU, A.K.A MIMI, SAUTI YA DHAHABU pia DUNIA MAPITO na nyingine nyingi huko nyuma, hii inatokana na muda ambao A Boy from Tandale imetoka ni muda ambao teknologia ipo juu sana.

Hivi unadhani teknolojia kama hii ingekuepo kipindi hzo album kongwe zinatoka hao views, shows, na collabo zisingefika vigezo vyako?
 
Nikweli mkuu lakini naona vigezo ulivyotaja vinazionea album za zamani kama hizo ulizotaja hapo juu MACHOZI JASHO NA DAMU, A.K.A MIMI, SAUTI YA DHAHABU pia DUNIA MAPITO na nyingine nyingi huko nyuma, hii inatokana na muda ambao A Boy from Tandale imetoka ni muda ambao teknologia ipo juu sana.

Hivi unadhani teknolojia kama hii ingekuepo kipindi hzo album kongwe zinatoka hao views, shows, na collabo zisingefika vigezo vyako?
Hata zingetoka leo.. sitaki kuamini kama kuna nyimbo yeyote ambayo ingeifikia viewers nana au number one remix maana hata ukizilinganisha na nyimbo zilitoka sahizi bado zinaongoza tena sanaaa kwa viewers hapa Tz maana sio kwamba sahizi hamna wasanii wakali wapo lakini Dimond ana nguvu kubwa sana kwenye mitandao kupelekea nyimbo zake kutazamwa.

Tukiachana na aspect ya wakati bado "a boy from tandale" imesheheni ngoma kali sana zilizobamba sio tuu bongo bali afrika
 
Unaweza ukakuta msanii ana collection ya nyimbo 200 lakini ana album 10 . Diamond hana album bali anatoa collection ya nyimbo zake zote tangu alipoanza kuimba.
Kwani album inatakiwa iwe na sifa zipi .??
Tuanzie hapo kwanza ..
 
Hata zingetoka leo.. sitaki kuamini kama kuna nyimbo yeyote ambayo ingeifikia viewers nana au number one remix maana hata ukizilinganisha na nyimbo zilitoka sahizi bado zinaongoza tena sanaaa kwa viewers hapa Tz maana sio kwamba sahizi hamna wasanii wakali wapo lakini Dimond ana nguvu kubwa sana kwenye mitandao kupelekea nyimbo zake kutazamwa.

Tukiachana na aspect ya wakati bado "a boy from tandale" imesheheni ngoma kali sana zilizobamba sio tuu bongo bali afrika
Kama unavyosema hutaki kuamini basi utaendelea kubisha hivyo hivyo ata uambiwe nini, ila nashukuru ulivyosema kua Mond anapata views wengi kutokana na nguvu kubwa alionayo mitandaoni na sio ubora wa kazi, sasa inaingiaje kwenye vigezo vyakuifanya album iwe bora?

sasa mteja wa album utamshawishi kununua eti kisa kulikua na views wengi au uzuri wa nyimbo zilizomo ndani?
 
Jamaa anafanya vizuri ila ukienda utube kuna kipande cha video katukana ile mbaya.yaani hata huyo DMX na 2pac hawajawai kutukana hivyo.madai yake anawatukana haters wake.https://jamii.app/JFUserGuide nikiziunganisha hazina mwisho.hapo hapo anamuomba Mungu amlinde.kweli hata shoga anaomba Mungu
 
Ukinganisho wako sio sahihi.., huwezi linganisha bongofleva enzi za kina JD, Prof JaYb et al na hizi za sasa ambazo social networks zina mchango mkubwa zana kuzifanya zitambike duniani kote...
 
Kama unavyosema hutaki kuamini basi utaendelea kubisha hivyo hivyo ata uambiwe nini, ila nashukuru ulivyosema kua Mond anapata views wengi kutokana na nguvu kubwa alionayo mitandaoni na sio ubora wa kazi, sasa inaingiaje kwenye vigezo vyakuifanya album iwe bora?

sasa mteja wa album utamshawishi kununua eti kisa kulikua na views wengi au uzuri wa nyimbo zilizomo ndani?
Angekuwa hafanyi kazi nzuri asingekuwa na hizo views au nguvu kwenye mitandao.

Kitu kimoja ambacho naona kinatofautisha wasanii wa sasa na wa zamani si kwamba wasanii wa sasa hawafanyi kazi nzuri ila tatizo wapo wengi sana na pia kuna avenue ya kusikiliza kazi zao mara nyingi tofauti na zamani nyimbo tunazisikia kwenye Top 10 radio one na chaguo la msikilizaji tuu
 
Ukinganisho wako sio sahihi.., huwezi linganisha bongofleva enzi za kina JD, Prof JaYb et al na hizi za sasa ambazo social networks zina mchango mkubwa zana kuzifanya zitambike duniani kote...
Kipimo kizuri tuangalie hits..

Nakubali sasa kuna avenue ya kusikiliza nyimbo kushinda zamani ila tusiangalie faida tuu pia kuna hasara za nyimbo kuwahi kuchokwa
 
Nikweli mkuu lakini naona vigezo ulivyotaja vinazionea album za zamani kama hizo ulizotaja hapo juu MACHOZI JASHO NA DAMU, A.K.A MIMI, SAUTI YA DHAHABU pia DUNIA MAPITO na nyingine nyingi huko nyuma, hii inatokana na muda ambao A Boy from Tandale imetoka ni muda ambao teknologia ipo juu sana.

Hivi unadhani teknolojia kama hii ingekuepo kipindi hzo album kongwe zinatoka hao views, shows, na collabo zisingefika vigezo vyako?
Kwani kipindi hicho hakukuwepo na Vituo vya Channel O,Bet na Mtv pia Kulikuwa hakuna utoaji wa tuzo za Mtv,Afrimma na Mtv world?. Aidha hao wote uliowataja hakuna aliyechukua hata Kili music awards tuzo tatu kwa mpigo katika Uhalisia hii album ndio bora mpaka now kuanzia Promotion, Lunching,Mauzo,Threads humu Jamiiforums,Post za Instagram na Hata show nadhani zitakuwa best but pole Mkuu.
 
Katika historia ya muziki wetu Tanzania kumekuwepo album nyingi mno hasa kipindi cha miaka 15 iliyopita ambapo bado album za wanamuziki zilikuwa na soko kubwa hapa Tanzania.

Nafahamu album nyingi sana za wasanii wa Bongo ambazo zinastahili heshima yake hasa kwa mapinduzi makubwa katika muziki wetu pamoja na ubora wake, kwa haraka niliwahi kuandika uzi kuhusu album hizo ambazo miongoni nilizitaja MACHOZI JASHO NA DAMU ya PROF J, A.K.A MIMI ya NGWAIR , KAMANDA ya DAZ NUNDAZ, SAUTI YA DHAHABU YA T.I.D na nyinginezo nyingi ikiwemo iliyokuwa inaongoza kwa mauzo ya Mb dogg.

Katika soko la album la zamani wasanii wengi walikuwa wanalalamika kuwa hawafaidiki na mauzo ya hizo album, na waliongeza kuwa waliokuwa wanafaidika ni wahindi pamoja na wadau wengine wachache kitu kilichopelea soko la album kudorora ama kupotea kabisa mpaka wasanii walipoibuka miaka hii miwili iliyopita na kuanza kutoa album kama Navy kenzo na Vanessa mdee.

The rise of Dimond platnumz.

Mwaka 2009 wakati anga la muziki wa bongo likisumbuliwa sana na vijana wabichi kutoka T.H.T ,aliibuka kijana kutoka Tandale, wengi walihisi amebahatisha kwa wimbo wake wa kwanza ambao ulipelekea kuzoa Tuzo 3 za kili kitu ambacho hakikuwahi fanyika kabla, baada ya hapo akaendelea kuzikomba tuzo za kitaifa na kimataifa na tokea huo mwaka haina shaka ndiye msanii nambari moja afrika mashariki.

Kwanini "A boy from Tandale " ndiyo album bora zaidi kwenye historia ya bongo fleva.

1.
Imesheheni hits kibao, sio tuu album inabebwa na msanii mkali bali imesheheni ngoma kali sana zikiwemo zilizobamba na kukamata chati mbalimbali afrika mfano, number 1 remix, nana ft Mr flavour, Sikomi,Kidogo,Marry you ft Neyo, Eneka, Hallelujah ft Morgan Heritage, Waka Ft Rick Ross na my favorite Baila.

2. Ina nyimbo zilizoangaliwa zaidi ya mara milioni 100 Youtube, ukienda youtube sasa hivi ukaangalia nyimbo zilizomo kwenye album ya a boy from tandale utaona zimeangaliwa zaidi ya mara milioni 100 (jumla yake),kitu ambacho hakipo na hakijawahi kutokea kwa msanii yeyote tTanzania na afrika mashariki na kati.

3. Ni album yenye tuzo nyingi zaidi afrika, chukua idadi ya Tuzo alizopata na wimbo wa My number 1 remix(zikiwemo 7 za kili na nyingine kibao), chukua idadi ya tuzo alizozoa kupitia Nana(ikiwemo ya Mtv world), hallelujah na nyimbo zingine utapata hitimisho kuwa hakuna album bongo iliyowahi ksheheni nymbo zenye tuzo nyingi kama "A boy from Tandale" na huenda haiongozi tuu afrika mashariki na kati bali afrika nzima.

4. Idadi ya wanamuziki wa kimataifa walioshirikishwa, katika kuchanganya ladha ya muziki wetu na sehemu nyingine album ya a boy from tandale imechanganya ladha ya muziki kutoka pande mbalimbali za dunia, kutoka Jamaica kuna Morgan Heritage, kutoka USA kuna Omarion, Rick ross na Ne-yo, kutoka Nigeria kuna Davido, flavour na Psquare bila kusahau ethiopia kuna miri ben ari.

5.Nyimbo zilizomo kwenye hii album zimempa show nyingi zaidi hasa za kimataifa tofauti na album za msanii yeyote yule hapa bongo.


kwa sababu hizi 5 na nyingine nyingi tuu ambazo nimeacha kuzitaja sababu ya muda, nahitimisha kuwa kwa vigezo vya ubora, mafanikio na impact yake kwenye soko la muziki, album ya Dimond platnumz 'A boy from Tandale" inasimama kama album bora zaidi kwenye historia ya muziki wetu Tanzania.


imgres



areachood@gmail.com

Well said mkuu...Kwakweli nimesikiliza nyimbo zoote kwenye hii albamu,daaah nikiri wazi tu huyu mtu anajua bhanaaa...

Anajua anachokifanya ni kipi na hakika ndaini ya hii albamu kuna nyimbo kama 8 hivi (kama ntakua niko sahii) ambazo hazijawahi kuachiwa rasmi...ZOOOTE NI ZA MOTO BALAAH...YAAN NI HIT KWELI KWELI AISEEE.....

Nimependa pia hata maproducer amechanganya changanya,sio Laizer tu tuliomzoea

1.BAIKOKO tamu

2.PAMELA tamuuuu (humu kuna msodoki,aiseee huo mtirirko wa humo ndani ni shiiiiiiida)

3.IYENA tamuuuuuuuuuuuuuuuuuu..(hili ndo favourite song langu sasaaa...lina mahadhi flani hivi kama ya kipwani pwani,kiafrica,nyimbo inachezeka kila mahali,kwenye maharusi,uswahilini,club ndo balaaah...halafu uyo Rayvanny sasa alivouaaa...daaaah...midundo iliyopo humo sipati picha watoto wa kike kwenye nyonga zao ......ingekua ushauri wangu huu ndo wimbo wa kuurelease officially tena kichupa kiwe cha hapahapa)

4.NIKUONE tamuuuu (humuhizo melody zake sasa usikubali kusimuliwaa)

5.BAILA tamuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu....hii wala siongei mengi

6.AFRICAN BEAUTY ...hii kila mtu anajua shuhuri yake inayoendelea kwasasa

7.FAR AWAY tamuuuuuuuuuuuuuuuuuuu (humu bwana yumo mwanadada Vanessa mdeee....dooooh!!! booonge moja la hit,tena wameflow kiinternational....hutaweza kuamini kama hawa ni watanzania wameshirikishana humu....alichokifanya Vmoney humu aiseeeee..na uyo domo anavolalamika na kuchombeza chombeza sasa....sipati picha kama wakiifanyia kichupa hili song walaaah,dunia itasimama)

All in all hii albamu hata wakisema copy elfu 20 mie ntatoa elfu 50 kabisaaaaaaaa.....IMESHIBAAAAAAA
 
Kwani kipindi hicho hakukuwepo na Vituo vya Channel O,Bet na Mtv pia Kulikuwa hakuna utoaji wa tuzo za Mtv,Afrimma na Mtv world?. Aidha hao wote uliowataja hakuna aliyechukua hata Kili music awards tuzo tatu kwa mpigo katika Uhalisia hii album ndio bora mpaka now kuanzia Promotion, Lunching,Mauzo,Threads humu Jamiiforums,Post za Instagram na Hata show nadhani zitakuwa best but pole Mkuu.
Wewe nae unanirudisha nyuma tena nimesema hayo yote hayakuwezekana kutokana na teknologia ya sasa ipo tofauti sana na zamani, unasema kuongelewa humu Jf sasa miaka ya 90s kulikua na jf au fb au IG?

Kuhusu kuchukua tuzo za kill 3 kwa mpigo hayo mambo hatakuepo kutokana na jinsi kulivyokua na ushindani halisi sio sasa hv mziki wa wadau
 
Angekuwa hafanyi kazi nzuri asingekuwa na hizo views au nguvu kwenye mitandao.

Kitu kimoja ambacho naona kinatofautisha wasanii wa sasa na wa zamani si kwamba wasanii wa sasa hawafanyi kazi nzuri ila tatizo wapo wengi sana na pia kuna avenue ya kusikiliza kazi zao mara nyingi tofauti na zamani nyimbo tunazisikia kwenye Top 10 radio one na chaguo la msikilizaji tuu
Nguvu ya mtandaoni inaweza kusababishwa na life style ya mtu na KIK za hapa na pale ndio zikawavuta watu kumfatilia ambapo hayo ni nje ya kazi yake...
 
Ukinganisho wako sio sahihi.., huwezi linganisha bongofleva enzi za kina JD, Prof JaYb et al na hizi za sasa ambazo social networks zina mchango mkubwa zana kuzifanya zitambike duniani kote...
Ndio ninachowaambia hawa jamaa, yaani kusema Album ni bora kwa muda wote ni kuwaonea wasanii wakongwe bora aseme tu ni album bora.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom