90% Ya Botswana wana HIV

Ongezeko la watu wenye HIV huko Botswana kumechangiwa utamaduni na mila zao watu wa Botswana kitu ngono ni cha kawaida sana ni kama vile kula kwa mama nitilie ,wana ile tabia ya 'kunyima ntu mi siwezi somo' hata kuwa watupu mchana kweupe hawaoni kazi utakuta mtu na dadake wanaoga nje kwenye besebni moja mbele ya wazazi wao na hata wazazi wao ni vivyo hivyo ,wanaoga kwa kwa kutumia beseni moja sababu pia huko maji,wao huita puma nis hida kwelikweli.Hapa tunapata fundisho kuwa tusipo badili tabia nasi tutakuwa kama Waswana,tukumbuke kuwa Waswana wako wachache ,si tunaona hatujafika huko sababu ya wingi
 
Acha masihara katika mambo serious!!!
Elia,

Watu siku hizi wajanja wanakupima halafu wanarudi mlango wa nyuma wanahonga unakuja siku ya majibu unaambiwa nyote negative utabisha? Usifanye mchezo na watanzania wana akili sana mkuu
 
Shule yako imetulia sana mkuu!!
Ongezeko la watu wenye HIV huko Botswana kumechangiwa utamaduni na mila zao watu wa Botswana kitu ngono ni cha kawaida sana ni kama vile kula kwa mama nitilie ,wana ile tabia ya 'kunyima ntu mi siwezi somo' hata kuwa watupu mchana kweupe hawaoni kazi utakuta mtu na dadake wanaoga nje kwenye besebni moja mbele ya wazazi wao na hata wazazi wao ni vivyo hivyo ,wanaoga kwa kwa kutumia beseni moja sababu pia huko maji,wao huita puma nis hida kwelikweli.Hapa tunapata fundisho kuwa tusipo badili tabia nasi tutakuwa kama Waswana,tukumbuke kuwa Waswana wako wachache ,si tunaona hatujafika huko sababu ya wingi
 
habari hiyo ina mapungufu... Denominator haipo

yaweza kuwa ni 90%ya wenye tb au wanaojifungua... It is wrong kugeralize
 
watswana nawafahamu sana coz nimeishi nao, wanasema kuna kabila tz wamekubuhu kwa ngono lkn kwa hawa watu mimi nilinyoosha mikono,watz hapa ndio ilikuwa pakuponea yaani mtoto wa kibongo pa1 na kwamba mpo nje ya nchi inakuwa ngumu kumpata lkn hawa... akija geto basi ni wewe tu na uzembe wako ushindwe.. halafu huwa hawana tabia za kuchuna kama wale wakwetu

takwimu ni btn 20-30% hiv +ve
 
Makirikiri haya sasa...............kumbe wakimaliza kuimba ndio mchezo wao huo.
 
Hii ni ngumu kuamini..

Halafu naona wengi kwenye maoni yenu
Mme kazani ngono tu . Na dhani sote
Tunaelewa kuna njia nyingine za mtu
Kuambukizwa..
 
Elia,

Watu siku hizi wajanja wanakupima halafu wanarudi mlango wa nyuma wanahonga unakuja siku ya majibu unaambiwa nyote negative utabisha? Usifanye mchezo na watanzania wana akili sana mkuu

Hiyo sio akili ni ukatili wa hali ya juu sana, kwa nini umuue mwenzio wakati wajijua c mzima.
 
makirikiri wote wale wanakula arv mkuu
nashangaa sana mkuu mmoja wa TRA eti kachumbia mojawapo wa vile videmu vinavyocheza jukwaani
ushamba bana! yaani alikosa mademu hapa tanzania?

Hee hilo nalo jipya, kachumbia kazi ipo.
 
Hata baada ya kupima na kukuta negative, mpira uko palepale ni muhim kutumika.
 
M;eta mada anaandika 90% bila ushahidi wowote ni kuandika tu Source BBC Afrika bila "link", si atuwekee link tukaone au tusikilize wenyewe ni nini kilichosemwa, mchangiaji post #7 anaonesha chini ya 30% kwa ushahidi wa kuweka "source" na "link".

Swali hapo ni "source" ipi ya ukweli? yenye "link" au isiyo na "link"?
 
Hiyo ya 90% naona kama imeongezwa chumvi hivi, lakini subiri niitafute kwenye BBC ya ukweli.
 
HIV sio ugonjwa tena ni vijimaradhi vya kawaida , kula vizuri na zingatia kanuni za afya utaishi kama kawaida

i salute you mkuu. Mi namfahamu mtu aliathirika tangu 88 lakini yupo hadi leo. Ila inategemea are yu a rapid progressor or slow progressor.
 
Asilimia 30% tu ya watanzania ndio wamepima, tuna uhakika gani kama hiyo 70% ya watanzania ambao hawajapima kwamba hawaja athirika.?? Botswana wanamwamko wa kupima na kujitangaza. Watanzania wengi sio wawazi.
 
Banned
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 13th April 2007
Posts : 7,437
user-offline.png
FaizaFoxy

???
 
Back
Top Bottom