mwenye kujua profile ya kampuni tafadali atoe dataz
1wana ndege ngapi?
2 za aina gani?
3wamiliki ni akina nan?
na habari zingine kuhusu hii kampuni ya ndege ya 540...
540 airline is based in Nairobi, so far wana-operate in Tanzania, South Sudan, Burundi, Uganda na Kenya in total wana ndege 10 za aina tofauti such as ATR 72s, Beech Craft, Bombardier, Fokker, Embraer, owners ni Neil Steffen na Don Smith
540 airline is based in Nairobi, so far wana-operate in Tanzania, South Sudan, Burundi, Uganda na Kenya in total wana ndege 10 za aina tofauti such as ATR 72s, Beech Craft, Bombardier, Fokker, Embraer, owners ni Neil Steffen na Don Smith
Wameanza kukimbiza soko la TZ kwa sasa.ATCL wako usingizini.
Zile wanazotumia TANZANIA ni CRJ model za Canadair.......Raila ni mmoja wa wamiliki