50 scholarships for masterprogramme in Embedded and Mobile Systems at Nelson Mandela African Institution of Science and Technology Arusha.

Shepherd

JF-Expert Member
Dec 14, 2012
2,417
1,645
Sharing is caring.

Ba ndugu hii scholarship zimetangazwa kwenye website ya chuo kikuu kimoja maarufu Kenya juu ya hizo nafasi za scholarship kwa watu wa nchi za Africa Mashariki na Kozi hiyo ya Master in Embedded and Mobile Systems itatolewa katika chuo cha Nelson Mandela Arusha.Kama una ndugu,jamaa,marafiki waliosoma hiyo undegraduate mambo ya it na computer science wachangamkie hizi fursa badala ya kukaa nyumbani wakisubiri kuajiriwa.
Nelson Mandela African Institute of Science and Technology wana scholarship za kozi za science wanaotafuta scholarship watembelee website yao mara kwa mara.

"CENIT@EA SCHOLARSHIPS TO PURSUE MASTERS STUDIES IN EMBEDDED AND MOBILE SYSTEMS (EMoS) AT THE NELSON MANDELA AFRICAN INSTITUTION OF SCIENCE AND TECHNOLOGY CENTRE OF EXCELLENCE FOR ICT IN EAST AFRICA (CENIT@EA) The CENIT@EA is initiated by the German Federal Ministry for Economic Cooperation and Development (BMZ) and the East African Community (EAC). It is funded by BMZ and implemented by German Agency for International Cooperation (GIZ) and the German Academic Exchange Services (DAAD) in partnership with the Inter-University Council of East Africa (IUCEA). The CENIT@EA is designed as a regional Centre serving Burundi, Kenya, Rwanda, South Sudan, Tanzania and Uganda and hosted at the Nelson Mandela African Institution of Science and Technology (NM-AIST) at the School of Computational Communication Sciences and Engineering (CoCSE). The CENIT@EA aims at establishing a demand driven Master Degree Programme in Embedded and Mobile Systems (MSc. EMoS), strengthening teaching and learning capabilities of East African Universities in ICT- related fields, and fostering regional networks and cross-sector partnerships between higher education institutions, industry, the public sector and civil society. SCHOLARSHIPS The CENIT@EA aims at achieving reasonable distribution of scholarships for master programme in Embedded and Mobile Systems following a transparent and fair selection of scholarship r Engineering, Telecommunications Engineering, or other related fields. Or have at least an overall of grade “B” in relevant subjects or fields of specialization in case of holding an unclassified degree Have adequate knowledge of written and spoken English  Be able to apply for admission into master’s degree in Embedded and Mobile Systems at NM-AIST through the following link: http://oas.nmaist.ac.tz:8080/noas/

HOW TO APPLY  All scholarship applications and required documents must be submitted through CENIT@EA online forms available at www.cenit-ea.org/application/  Please prepare all the necessary documents before starting the online scholarship application process, as the application cannot be cached. Make sure to have a valid e-mail address and a stable internet connection before initiating the process  For a list of required documents and application procedures visit CENIT@EA website How to apply section.  For more information on how to apply for admission at NM_AIST visit NMAIST website, and apply through NM-AIST Online Application System (OAS) by following the following link: http://oas.nm-aist.ac.tz:8080/noas/.  The application form must be filled in English language. All supporting documents in other languages must be accompanied with their notarized English translation.  Please carefully review the application before pressing “submit”. Only complete applications will be considered.  We do not accept applications or documents sent by e-mail, fax or postal service.  Primary means of communication is via e-mail. Please use only your own e-mail address and do not include the contact details of a third party in the application form  Submitting incorrect and/or misleading information may be reason for disqualification during selection and/or withdrawal of the study grant.  Degrees granted from foreign institutions must be authenticated by the Tanzania Commission for Universities (TCU) Foreign Award assessment System (FAAS) or follow: the link: Foreign Award Assessment System.  The Deadline for submitting online scholarship applications is 30th March 2019, 23:00 EAT SELECTION AND AWARD Scholarships selection and award is based on regional participation, quality of the candidate, scholarships distribution in-country and in-region, gender consideration and number of scholarships available. For more detailed information on selection and award process visit the Scholarship page".

The Nelson Mandela African Institution of Science and Technology (NM-AIST) in Arusha is one in a network of Pan-African Institutions of Science and Technology located across Sub-Saharan Africa (SSA). These institutions, which are the proud brainchild of the late Nelson Mandela, envision training and developing the next generation of African scientists and engineers with a view to impacting profoundly on the continent's development through the application of Science, Engineering and Technology and Innovation (SETI).

"The NM-AIST, which is accredited by the Tanzania Commission for Universities (TCU) is being developed into a world class research intensive institution for postgraduate and post-docs studies and research in SETI. The training in SETI, however, incorporates appreciable doses of relevant business studies and humanities ingredients. Thus the training curricular also incorporate strong innovation and entrepreneurship features, and hence strong academia-industry relations are part of the NM-AIST's development agenda. NM-AIST's curricular also seek to accommodate, enable, stimulate and catalyze the innovation and entrepreneurship qualities inherent in the Y-generation for the benefit of SSA's sustainable development".

https://www.nmaist.ac.tz/docs/March 01, 2019_Scholership Advert CENIT@EA, Feb 26, 2019-NM-AIST Eddited-Final-2.pdf
 

Attachments

  • March 01, 2019_Scholership Advert CENIT@EA, Feb 26, 2019-NM-AIST Eddited-Final-2.pdf
    394.2 KB · Views: 52
Asante.Nelson Mandela African Institute of Science and Technology wanakuwaga na nafasi za Scholarship kwa level ya Masters na Phd kwa kozi za Science lakini naona Watanzania wengi awajui,hili tangazo nimelikuta kwenye page ya chuo kikuu huko Kenya.


Mshindo mkuu husikika mbali, labda wanatangaza mbali ili wenyeji wasifunguke akili maana wakielimika wataisumbua mamlaka
 
Mshindo mkuu husikika mbali, labda wanatangaza mbali ili wenyeji wasifunguke akili maana wakielimika wataisumbua mamlaka
Hapana hiki ni moja ya Pan-Africa insitution hivyo kina fursa nyingi,sisi watanzania sio aggressive kwenye kupambana na future zetu atupendi kugoogle hivi vyuo tujue wana nini vijana wetu wengi wabanwa na whatsap,instagram n.k wakingojea ajira badala ya kutafuta fursa za kusoma kama hizi.
 
Tatizo hao Mandela wanaweka vigezo vingi kweli,yaani hiyo scholarship watataka mpaka uwe na admission letter au ulipie hela ya maombi ya udahili ndiyo waanze consideration ya ufadhili.Ndiyo maana Wabongo wengi hawachangamkii hii fursa.Yaani mpaka uwe umeshaanza kusoma au unabarua ya admission ndiyo utapata hiyo kitu.I stand to be corrected!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo hao Mandela wanaweka vigezo vingi kweli,yaani hiyo scholarship watataka mpaka uwe na admission letter au ulipie hela ya maombi ya udahili ndiyo waanze consideration ya ufadhili.Ndiyo maana Wabongo wengi hawachangamkii hii fursa.Yaani mpaka uwe umeshaanza kusoma au unabarua ya admission ndiyo utapata hiyo kitu.I stand to be corrected!

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaomba ukiwa na vigezo unapata barua chap halafu unaomba scholarship. Sio lazima uwe umeshaanza. Usikate tamaa kabla hujajaribu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo hao Mandela wanaweka vigezo vingi kweli,yaani hiyo scholarship watataka mpaka uwe na admission letter au ulipie hela ya maombi ya udahili ndiyo waanze consideration ya ufadhili.Ndiyo maana Wabongo wengi hawachangamkii hii fursa.Yaani mpaka uwe umeshaanza kusoma au unabarua ya admission ndiyo utapata hiyo kitu.I stand to be corrected!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu na bado yale yale wanataka ad uwe na evidence ya Language proficiency.
 
Back
Top Bottom