kauzu pipo
Member
- Nov 5, 2010
- 20
- 0
nimesikia tetesi ya kwamba kuna noti ya elfu tano, can anyone proove this?
nimesikia tetesi ya kwamba kuna noti ya elfu tano, can anyone proove this?
nimesikia tetesi ya kwamba kuna noti ya elfu tano, can anyone proove this?
Tusipoangalia rate ya kuanguka shilingi yetu itawapita hata hao majirani anakotawala yule king'ang'anizi mkuu. Inatisha. Siwashangai wanaodai malipo ya dola!
Wachumi wetu - ipeni serikali (kama itawasikiliza) mikakati mathubuti ya kupambana na hali hii.
sirikali yetu inaambilika?. CUF wamempa ilani yetu ya uchaguzi nadhani itamsaidia
tunakaribia kufanana na mzee jirani yetu aliyeng'ang'ana na madaraka ya urais
Makame,
all in all Economy ya Tanzania inakuwa; mhh........!!!!!! :nono:
eti wana JF hii nikweli!!!!?????
Wadau, being critical is acceptable, but not over critical.
Siku zote mnapaswa kutumia vielelezo kujenga hoja, na sio kubwabwaja tu; na iwe vielelezo makini; sio UCHAKACHUZI.
mwaka 2005 JK alipoingia Madarakani Exchange rate ya Tshs against USD ilikue Tshs 1235 - 1260/ USD; sasa exchange rate ni Tshs 1475 - 1505/USD.
Hio devaluation ya Tshs against the USD haijaawahi kufikia hio ASILIMIA HAMSINI. Jamani, jamani, msichakachue data zisizokuwa zenyewe.
Likewise, kuna sababu kadhaa zinazoweza kupelekea Tsh kushuka thamani kulinganishwa na USD za kiuchumi ambazo sio viashiria vya Uchumi kuzorota. Ningewashauri huu uwanja musiuingie kwani utahitaji Darasa refu kidogo.
All in all, Economy ya Tanzania inakua.
Pili, kule Ulaya kuna noti ya Euro 1000, ambapo Euro moja ni Tshs 2000, hivyo kuna noti ya Tshs 2,000,000. Kama Benki kuu itaona umuhimu wa kutoa Currency ya 50,000/= hakuna mushkeli, sema itazunguka zaidi mijini.
Tusipoangalia rate ya kuanguka shilingi yetu itawapita hata hao majirani anakotawala yule king'ang'anizi mkuu. Inatisha. Siwashangai wanaodai malipo ya dola!
Wachumi wetu - ipeni serikali (kama itawasikiliza) mikakati mathubuti ya kupambana na hali hii.
Suala la kukua kwa uchumi halina maana yeyote kama hali za maisha yawatu wa kawaida haiimariki,mathalan wakati jk anaingia madrakani sukari ilikuwa tshs 600-800 sasa ni zaidi ya 1600,kiberiti kilikuwa 20tshs sasa 50shs,hapo uchumi kukua una maana gai?