45% ya Wanawake wenye Ajira wametoa Rushwa ya Ngono!

Nina weza kuamini maana nina mfano halisi wa demu mmoja kule Arusha/kilimanjaro ana pigwa kipumb* na MD-Mzungu na kapewa ajira na Juzi juzi walikuja Dar kuspend kama wk moja hivi na kurudi! Halafum ndo wenye dharau kubwa maofisini kwa wafanyakazi wengine na hata efficiency yao ni ndogo sana kiutendaji. Nalaaaniii sana hiki kitendo cha rushwa
 
Hii ipo sana kwenye vyama vya siasa! MMESAHAU VITI MAALUMU WAKUU KATIKA VYAMA WANAVYOHONGA AU KUUZA KWA NGONO!
 
serikalini tatizo hili litapungua kidogo coz nowdays wanaajiri kupitia wizara mama kama tamisemi au fedha nk na pia wana sekretarieti ya ajira. njoo sasa huku kwenye mashirika ya umma (su) na binafsi,duuuuuhhhh! huko ukiwa mwanamke ili kupata ajira possibility ya kuombwa rushwa ya ngono ni 90%.
 
Nadhani huo utafiti unamapungufu, Asilimia 40 ni ndogo sana inaweza kuwa hata more than 90%
 
Kwa upande mwingine hii takwimu ya kuwa 'karibu' nusu ya waajiriwa wanawake wametoa rushwa ya ngono naona kama inawaeleza wanawake wasioajiriwa au walio vyuoni kuwa 'ajira' kwa kiasi kikubwa zinapatikana baada ya kuhonga ngono...na hivyo kuwaandaa 'kiasikolojia' kutoa hongo hiyo!

Ni mtazamo wangu tu...

Wakati mwingine hii badala ya kusaidia inaweza ongeza problem....Angalia impact yake kwenye confidence ya wanawake kuendelea kufanya kazi bega kwa bega na wanaume...Kunasehemu wanawake wanaogopa hata kwenda kwenye field researches eti wataonekana wanatembea na wanaume wanaofanya nao kazi...Ndoa zingine zimevunjika kwaajili ya hisia mbovu pale mwanamke anapoonekana kushirikiana kikazi na wanaume na kumfanya waume wawe na wivu uliovuka mipaka mpaka wanawake nao waka give up na kuamua kufanya kweli....

Hivi hizi sensitive researches zinafuata ethics kweli kwenye release of the findings? The percentage is too sensitive in such a way kwamba disadvantege zinaweza ku outweigh advantages za hiyo research hasa kwa cultural setting yetu. By iteself inaweza ikaendelea kumnyanyasa mwanamke kisaikolojia badala ya kumsaidia.
 
Wanawake wengine anatumia hiyo kama chombo cha kufaulu kwenye interview kwani hata huko vyuoni walifaulu kwa kugawa ngono.
Mkuu umeenda mbali sana, binafsi nawafahamu wadada wengi tu waliokuwa vichwa madarasani huku wanaume wakifuata nyuma. so do not generalize
 
Kwa upande mwingine hii takwimu ya kuwa 'karibu' nusu ya waajiriwa wanawake wametoa rushwa ya ngono naona kama inawaeleza wanawake wasioajiriwa au walio vyuoni kuwa 'ajira' kwa kiasi kikubwa zinapatikana baada ya kuhonga ngono...na hivyo kuwaandaa 'kiasikolojia' kutoa hongo hiyo!

Ni mtazamo wangu tu...
Kuna mtu amesema wao huwa wanasema 'Its all about positioning yourself strategically' nafikiri mawazo na fikra zaidi ya hapo zitakuwa hazipo zaidi ya kuwaza kutumia kiungo chake kama means ya kupata a desired job
 
Jamani Jk ndo aliwadanganya, alisema "ukitaka kula lazima ukubali kuliwa". Sasa dada zetu wanajua nikitaka kazi nikubali kuliwa. Hili nalo linahitaji maombi msemo wa Bashe.
 
mmenikumbusha degree za utupu UDSM
Ofisini kuna mdada ambaye siku zote anaamini kwamba mafanikio ya mwanamke huja tu kama AKIWEZESHWA na mwanaume
Mwingine amepata tuzo ya mfanyakazi bora baada ya KUTUMIKA IPASAVYO

Sophia alisema kwamba hakuna mwanaume kama Edward (sijui yeye ndie aliyefanikisha kufika hapo alipo)
Then anawaasa wenzake wawanyime unyumba wanaume wa CDM, huku yeye akiwa waziri mwenye dhamana.
Hii ni kwamba Waziri amethibitisha kwamba bila unyumba Maendeleo kwa Mwanamke hakuna.
 
Hivi ina maana waajiri wote ni wanaume tu? Hiyo asilimia 45, aliipata toka wapi??
 
Kulingana na matokeo ya utafiti uliofanywa na shirika moja la kujitegemea hapa nchini, unaonyesha asilimia takriban arobain (40%) ya wanawake walio na ajira rasmi wamezipata kazi hizo kwa kutoa au kulazimishwa Rushwa ya ngono.
Ndugu wanaJF kwangu hizi habari nimezipokea kwa masikitiko, nawashangaa dada zangu kwa kujirahisisha kiasi icho ukizingatia kuwa wengi wao wanavigezo na ni wasomi wa viwango vya juu kielimu, nawalaumu kwa kushindwa kujithamin kiasi cha kutoa mapenz kwa nia ya kupata kazi, huku ni kujishushia thamani ya utu wao.
Kwa upande mwingine napenda washauri wanasheria pamoja na maafisa utumishi wote kuja na mbinu au mkakati utakaowezesha kuwabaini maafisa kazi wote waombao rushwa hizi za ngono, pia wawachukulie hatua kali za kinidhamu. PCCB PIA WANAHUSIKA KTK UFUMBUZI WA TATIZO HILI.
Ndugu wanaJF nawasilisha!

Nakataa mpaka uthibitishe kwa kunipa source ili niwaulize source
 
Back
Top Bottom