Vangiporini
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 313
- 231
Mnamo mwaka 2019 nilinunua Boxer 150x ikiwa mpya kabisa, na nilifanya maamuzi magumu kutokana na changamoto nilizokuwa nikiambiwa kuhusu pikipiki aina ya Boxer lakini niliamua tu kuinunua hivyo hivyo kwa kuwa nilitokea kuipenda sana.
Tangu nimeinunua nimekua naipigia kazi balaa (matumizi binafsi sio bodaboda) maana nipo maeneo ya kijijini na means kubwa ya usafiri ni pikipiki. Lakini pia imeshakula masafa marefu sana.
Mpaka sasa Odometer inasoma 50,000 km
Haijawahi Kufunguliwa engine (zaidi ya kufungua cover kuadjust tappets)
Haijawahi kutoa moshi (poston rings bado zinadunda)
Power bado iko vizuri
Ulaji wa mafuta bado sioni tofauti
Kwa muda wa miaka mitatu na huyu mnyama nimezingatia sana vitu vifuatavyo;
kubadili oil & oil filter kila inapohitajika
kutembelea gear according to the speed & mzigo
Epuka mafundi wajanja wajanja wasio na uelewa wanaodhani kila kitu ni lazima kigongwe kwa nguvu
Don't mess with the carburattor hutaki pikipiki yako ile mafuta unataka ile ugali?
Katika periodic maintainance usisahau kukaza nuts & bolts, rublication sehemu mbalimbali pamoja na kucheck rubber bushings for wear & tear
IKIMBUKWE KUWA, Fundi wa kwanza ni wewe...wewe ndio unakijua chombo chako na hata ikitokea tofauti yoyote wewe ndo wa kwanza kulitambua hilo, kuna baadhi ya matatizo hata ukimpa chombo chako fundi atest hmas long as kinatembea, hawezi kugundua kirahisi bila wewe kumwambia na hakikisha fundi hawi mbishi (hii ndo shida ya mafundi).
Tangu nimeinunua nimekua naipigia kazi balaa (matumizi binafsi sio bodaboda) maana nipo maeneo ya kijijini na means kubwa ya usafiri ni pikipiki. Lakini pia imeshakula masafa marefu sana.
Mpaka sasa Odometer inasoma 50,000 km
Haijawahi Kufunguliwa engine (zaidi ya kufungua cover kuadjust tappets)
Haijawahi kutoa moshi (poston rings bado zinadunda)
Power bado iko vizuri
Ulaji wa mafuta bado sioni tofauti
Kwa muda wa miaka mitatu na huyu mnyama nimezingatia sana vitu vifuatavyo;
kubadili oil & oil filter kila inapohitajika
kutembelea gear according to the speed & mzigo
Epuka mafundi wajanja wajanja wasio na uelewa wanaodhani kila kitu ni lazima kigongwe kwa nguvu
Don't mess with the carburattor hutaki pikipiki yako ile mafuta unataka ile ugali?
Katika periodic maintainance usisahau kukaza nuts & bolts, rublication sehemu mbalimbali pamoja na kucheck rubber bushings for wear & tear
IKIMBUKWE KUWA, Fundi wa kwanza ni wewe...wewe ndio unakijua chombo chako na hata ikitokea tofauti yoyote wewe ndo wa kwanza kulitambua hilo, kuna baadhi ya matatizo hata ukimpa chombo chako fundi atest hmas long as kinatembea, hawezi kugundua kirahisi bila wewe kumwambia na hakikisha fundi hawi mbishi (hii ndo shida ya mafundi).