*****************************

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,231
Jamaa alikuwa na girlfriends watatu,akaanza kuwaza amwoe yupi kati ya hao.
akawapa kila mmoja milion 5 ili aone kila mtu ataitumiaje.
Girlfriend wa kwanza akaenda supermarket akanunua nguo,viatu,mikufu ya kila aina,
akaingia saloon kutengeneza nywele,halafu akarudi kwa jamaa na kumwambia
nimenunua hivi vyote ili nipendeze ili unipende daima.
Girlfriend wa pili akarudi akiwa amenunua,tv,redio,cd & dvd player,meza na viti,
halafu akampa mshikaji ili watumie kwa maisha yao wakioana.
Girlfriend watatu akafanya biashara ndogo ndogo ile hela ikarudi mara mbili,
akafungua duka na kumrudishia jamaa million 5 yake,akamwambia million 5 hiyo
ikusaidie na hii itakuwa duka letu.
Cha kushangaza ktk uamuzi wake jamaa akaamua kumwoa mwenye chuchu na makalio makubwa.
 
James:mambo mrembo
Mrembo:poa mambo vp loverboy
James:naweza nikakufahamu zaidi?
Mrembo:nina miaka 19,mrembo wa ukweli,hips nzuri,chuchu saa sita,lips tamu.
James:Mhh nimeshakupenda,mi nina miaka 52,kifua kipana
Mrembo:miaka 52?lol kama umri wa baba yangu
James:nina miaka 52 ila napenda kutembea na visichana vidogo.
Mrembo:una mke?
James:nina mke ila sio sexy kama wewe,nina binti pia ana miaka 19 ila yupo sebuleni anafanya homework na rafiki yake
Mrembo:sasa kwanini unapenda visichana vidogo?
James:ni watamu balaa we acha tu
Mrembo:pia napenda wazee wenye umri wako,wanaotoa ipad,iphone,na cash
James:nitakupa hivo hata zaidi ya hvo
Mrembo:naomba tukutane mana mi nipo Masaki
James:Labda niambie kesho nije kukuchukua na benzi langu jipya.
Mrembo:Kesho nina darasa,ngoja nifanye homework tutachat kesho mana baba yangu ni mkali
James:shule ni mhimu sana,niambie h/work ninaweza kukusaidia pia.
Mrembo:usijali nafanya h/work na rafiki yangu anayeitwa Lucy.
James:Mercy huyo ndo wewe?
Mrembo:Baba kumbe ndo wewe?

otea kilichotokea
 
wavuta bangi watatu waliona ndege ikipita. Mmoja akasema, "ile ndege ni ya Obama ile...hivi sasa yaelekea Marekani." Wa pili akasema, "la hasha...hio si ya Obama. Hii ndege ni ya Kibaki. Si waziona hizo rangi za bendera ya Kenya?"
Basi, wa tatu akawaambia, "wallahi nyi wote machizi freshi. Vipi itakuaje hizo ndege ni za Obama ama Kibaki? Mi sidhani kama ni zao kabisaa!"
"kwanini?" wale wawili wakamuuliza kwa pamoja.
Akawajibu, "sababu kama ni zao, tungeona pikipiki zikiwa mbele.
 
wavuta bangi watatu waliona ndege ikipita. Mmoja akasema, "ile ndege ni ya Obama ile...hivi sasa yaelekea Marekani." Wa pili akasema, "la hasha...hio si ya Obama. Hii ndege ni ya Kibaki. Si waziona hizo rangi za bendera ya Kenya?"
Basi, wa tatu akawaambia, "wallahi nyi wote machizi freshi. Vipi itakuaje hizo ndege ni za Obama ama Kibaki? Mi sidhani kama ni zao kabisaa!"
"kwanini?" wale wawili wakamuuliza kwa pamoja.
Akawajibu, "sababu kama ni zao, tungeona pikipiki zikiwa mbele.

hahahaha kukariri kubaya sana pikipiki angani lol
 
Wabongo na mademu bwana, kumbukeni ile stori ya talanta 3, 2 na 1 kwenye biblia.
 
mtoto wa mwenzio mwanao,
nilimsikia jamaa mmoja anasema mtoto wa mwenzio mkubwa mwenzio.
 
Jamaa alikuwa na girlfriends watatu,akaanza kuwaza amwoe yupi kati ya hao.
akawapa kila mmoja milion 5 ili aone kila mtu ataitumiaje.
Girlfriend wa kwanza akaenda supermarket akanunua nguo,viatu,mikufu ya kila aina,
akaingia saloon kutengeneza nywele,halafu akarudi kwa jamaa na kumwambia
nimenunua hivi vyote ili nipendeze ili unipende daima.
Girlfriend wa pili akarudi akiwa amenunua,tv,redio,cd & dvd player,meza na viti,
halafu akampa mshikaji ili watumie kwa maisha yao wakioana.
Girlfriend watatu akafanya biashara ndogo ndogo ile hela ikarudi mara mbili,
akafungua duka na kumrudishia jamaa million 5 yake,akamwambia million 5 hiyo
ikusaidie na hii itakuwa duka letu.
Cha kushangaza ktk uamuzi wake jamaa akaamua kumwoa mwenye chuchu na makalio makubwa.

Intro - A
Main body - A
Conclussion- F
 
Jamaa alikuwa na girlfriends watatu,akaanza kuwaza amwoe yupi kati ya hao.
akawapa kila mmoja milion 5 ili aone kila mtu ataitumiaje.
Girlfriend wa kwanza akaenda supermarket akanunua nguo,viatu,mikufu ya kila aina,
akaingia saloon kutengeneza nywele,halafu akarudi kwa jamaa na kumwambia
nimenunua hivi vyote ili nipendeze ili unipende daima.
Girlfriend wa pili akarudi akiwa amenunua,tv,redio,cd & dvd player,meza na viti,
halafu akampa mshikaji ili watumie kwa maisha yao wakioana.
Girlfriend watatu akafanya biashara ndogo ndogo ile hela ikarudi mara mbili,
akafungua duka na kumrudishia jamaa million 5 yake,akamwambia million 5 hiyo
ikusaidie na hii itakuwa duka letu.
Cha kushangaza ktk uamuzi wake jamaa akaamua kumwoa mwenye chuchu na makalio makubwa.

ekthelent,hapo mimi thijakuelewa aithee.
 
yuko sahihi ila hakutuambia kati ya hao ni yupi alikuwa na inye na yupi kipotabo,hope mwenye duka hakuwa na inye.
 
Back
Top Bottom