hv nyie huyo adam mnamjua au mnamsikia igoma imemshnda nyamagana ataiweza? anaongea sawa lakn hatumii busara tumepigana kupata udiwan amepata tu akahama na igoma kaenda kupanga nyakato mara kashkwa na mke wa mtu.ajichunge sana fika stend igoma uone ilivyokuwa 2010 na leo, sa hv hamna hata bendera moja ya cdm cjui kawafanya nn wanaigoma
Mkuu inawezekana ni kwel huyo bwana Chagulani ana mapungufu lkn kwa kweli huyu kijana ametufanyia mengi sana igoma, mwez uliopita tumezindua ofisi ya chama ya kata pamoja na kufungua tawi ktk stend ya igoma.