Asante msanifu majengo!!!hatuwezi kujadili hoja, docta slaa alishasema hagombei tena endapo atakosa urais 2010, sasa tutachangiaje kitu ambacho we r sure it cant happen???
Dr Slaa anafaa. Uchaguzi uliopita hakushindwa isipokuwa alidhulumiwa tu. katiba ibadidilishwe ili tumpe ushindi wa nguvu. Tumechoka na ccm.hatuwezi kujadili hoja, docta slaa alishasema hagombei tena endapo atakosa urais 2010, sasa tutachangiaje kitu ambacho we r sure it cant happen???
hatuwezi kujadili hoja, docta slaa alishasema hagombei tena endapo atakosa urais 2010, sasa tutachangiaje kitu ambacho we r sure it cant happen???
Magufuli ni mtendaji mzuri lakini yuko kwenye Chama kibovu ambacho hawezi kukibadili malengo yake ya kunyonya nchi! Na akidiriki kuingiza maadili ya nchi ndani ya CCM watamkolimba apotee kabisa. Hivyo watu wenye akili hatuwezi kumpa kura, kwanza kwa kupenda aendelee kuishi pili chama chake kitoke madarakani kwani kimeoza na kinanuka!
Dr. Slaa ataendelea kuwa chaguo la watanzania kwa kuwa yeye mwenyewe ni mzalendo wa kweli na CHADEMA haijachafuka bado, inawatu makini na wakipewa nafasi watairudisha nchi kwenye malengo ya waasisi wa Taifa hili.
Nnaomba jibu lako uliambatanishe na Sababu za Msingi.
Any credible alternative to CCM will get my vote.