EL MAGNIFICAL
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 938
- 125
salamu kwenu wana jf !
Nimekaa na kutafakali nimegundua kuna watu wana uroho wa madaraka na itakuwa kawaida sana kuona bunge letu likikosa mabadiliko kila baada ya miaka 5, hivyo nimeona ni vyema kupitia jf hawa viongozi wa vyama watambue kama watapenda kulinda majimbo yao ni vyema wafuatao wasisimamishwe tena ktk kugombea ubunge:-
1. dr. Mahenge
2. steven wasira
3. Makinda
4.ndesambulo
5.mrema
6.cheyo
7.pinda
8...........
9............
10.........
11..........
Unaweza kuongeza wengne pia.
Kwanini nimewapoint hawa !
Kwakweli kwa hali ya nchi ilivyo sasa ni vyema taifa likapata vijana ambao ndio nguvu kazi sina maana kwamba wazee hawafai la hasha lakini nikimtizama mbunge wangu dr. Mahenge huwa napata wasi wasi u dr alipataje !!!
Nawasilisha.
Nimekaa na kutafakali nimegundua kuna watu wana uroho wa madaraka na itakuwa kawaida sana kuona bunge letu likikosa mabadiliko kila baada ya miaka 5, hivyo nimeona ni vyema kupitia jf hawa viongozi wa vyama watambue kama watapenda kulinda majimbo yao ni vyema wafuatao wasisimamishwe tena ktk kugombea ubunge:-
1. dr. Mahenge
2. steven wasira
3. Makinda
4.ndesambulo
5.mrema
6.cheyo
7.pinda
8...........
9............
10.........
11..........
Unaweza kuongeza wengne pia.
Kwanini nimewapoint hawa !
Kwakweli kwa hali ya nchi ilivyo sasa ni vyema taifa likapata vijana ambao ndio nguvu kazi sina maana kwamba wazee hawafai la hasha lakini nikimtizama mbunge wangu dr. Mahenge huwa napata wasi wasi u dr alipataje !!!
Nawasilisha.