nitaanza na mungu na nitamaliza na mungu, pesa next nataka kuwakomboa wasukuma wenzangu ni muda mwingi sasa wako kifungoni mwa ma CCM.. peoples power na M4C zitatumika.ue na fedha sio chini ya million 200 za rushwa kwa sababu mwenzako anazo hizo na atazitumia kuhakikisha anapigiwa yeye kura:smiling:
nitaanza na mungu na nitamaliza na mungu, pesa next nataka kuwakomboa wasukuma wenzangu ni muda mwingi sasa wako kifungoni mwa ma CCM.. peoples power na M4C zitatumika.