Magazetini
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 588
- 1,698
- Thread starter
- #21
sasa kwa nini hataki kusema mojakwa moja kua ni lexus, anaficha nini hii ni biashara kwa nini asiwe transparent. ok by the way hayo yoote uliyoyaeleza humu mi nayajua nilichotaka jamaa aweke uwazi zaidi. haya changamkia biashara hiyo, uwe na siku njema ndugu
Mkuu,
Hii gari sio Lexus. Na kama unajua magari utaijua lexus kwa kuiangalia tuu. Hii gari show ya mbele na nembo ndio lexus ndio maana nimekuambia njoo uangalie. Na ingekuwa lexus si ningesema kwanini nivishe? Kuna aibu gani gari kuwa Lexus.
Na uje uone registration zake.