Don Alaba
Senior Member
- Nov 3, 2010
- 167
- 18
20 na 15 wadanganyika waliobaki kwenye uchaguzi wa mwaka 20 na 10 watapenda mabadiliko pia!
PEOPLE POWER, leo tunafanya harambee kujenga uzio wa UDSM na mabweni hivi vyuo vingi duniani vina uzio au utendaji kazi wa ulinzi sio hapo chuoni si mzuri?
ACHENI HIZO
PEOPLE POWER, leo tunafanya harambee kujenga uzio wa UDSM na mabweni hivi vyuo vingi duniani vina uzio au utendaji kazi wa ulinzi sio hapo chuoni si mzuri?
ACHENI HIZO