2/3 of Africans have no toilets!

Pale Michenzani kuliwahi kuwepo na flying toilet, ilikuwa ni tabia mbaya mno, hii ilitokana na matatizo makubwa ya maji, huku wakaazi wengi wakiwa hawana uwezo wa kununua pump za maji. Halmashauri ya Manispaa ilishindwa kabisa kukemea vyoo hivyo vya kupaa...

Kupitia michezo ya kuigiza, taratibu vyoo vya kupaa vilianza kupungua.
 
Ni vyoo ndani ya mfuko wa Rambo, Baada ya kujisaidia mtu hurusha mbali mfuko huo wa Rambo wenye kinyesi ndani yake..
 
Pale Michenzani kuliwahi kuwepo na flying toilet, ilikuwa ni tabia mbaya mno, hii ilitokana na matatizo makubwa ya maji, huku wakaazi wengi wakiwa hawana uwezo wa kununua pump za maji. Halmashauri ya Manispaa ilishindwa kabisa kukemea vyoo hivyo vya kupaa...

Kupitia michezo ya kuigiza, taratibu vyoo vya kupaa vilianza kupungua.

hahaa, now i get it ! Dawa yake ni moja tu, haina haja ya kununua pump, instead wangekuwa wanamwaga masizi. hiyo ingesaidia vitu kushuka chini vyenyewe ! they should try it !
 
Ubinafsi ndio unatuangusha, angalia EL, Karamagi, RA etc. wanaangalia matumbo yao. Kila anayejenga bongo anataka kuwa na septic and sewer tank yake, tuondokane na hilo tuwe na centralised system ambayo ndio itakuwa nyenzo ya kuleta usafi kwa ujumla. Mikoani na vijijini haina neno.

Dau,

Tunashindwa hata ku supply maji kwa watu wetu wote wa Dar, je tutaweza kweli hilo la centralized sewage system?

Huenda kwasasa solution ya mmoja mmoja ndio itafanya kazi wakati tunasubiri hiyo culture na ufisadi wa viongozi wetu ubadilike.

Uzuri wa solution ya mmoja mmoja, hutakiwi kuangalia nani anafanya nini, badala yake ni wewe na uchafu wako. Tatizo tu ni gharama zaidi na maskini
wanaweza kuendelea kuumia na uchafu huku matajiri wanapeta.
 
Aina za vyoo katika Unplanned Area - Mwanza

y1pIjS-ngexYeXb5aWnKZIJbNPrEXEUurE4_HHr3l1sjzI1jrV9zZtU6PspMyxvxFRSjolHORnDGQw


y1pIjS-ngexYeXW_ECEha6Xze0Cf-mo3hQXwLd0-eHKB8wVGBm2EVq3nW4h0HWULscN4C_8w8rb_rY

Choo na bafu

y1pIjS-ngexYeVqwIVHOp-7J9GZf1Gj1LnSFpQD3hIZn0jWQAExlXN-mXEmWuajMAf9LiRpLQMocaI




Choo hiki kimegeuzwa kuwa ofisi hapo Mwanza

y1pIjS-ngexYeWEVtM_8A_1mrH0xdNboud4TFzSEyQdoZCblhddNXrP-1e0epD2livVMoq-qwD8Gn8


Wengine humwaga maji yao ya bafuni kwenye msingi/mtaro kama hivi
y1pIjS-ngexYeXZcaGc6EmJ0Wn7iKb0XpLQwSrpGFGf61jTW-gVd8V1DVBA_ALx4MS_8o1HW8P1mEM


Sehemu ya kusafisha maji taka
y1pIjS-ngexYeWtH6m6lvg3Pyz9r6kcC1IkjAJ9t33Wc2LvsZeQb89lQi7fPe0XOkZvItwLKkgdp8M
 
heheee ! hali ni mbaya nyumbani lakini sasa mmezidi kupasua watu mbavu !

KadaMpinzani,

Vyoo vya aina hiyo viko sana Scandinavia, hasa kule mashambani. Enzi za uanafunzi Europe, tulikuwa tukienda kuchapa mzigo huko basi watu wanamaliza shughuli zao, baadaye mfuko unafungwa vizuri na kwenda kutupwa sehemu maalumu. Choo ni kizuri kabisa, tatizo tu ni hilo la kila siku kubadilisha mifuko.

Kwa Tanzania hiyo ni balaa kabisa.
 
KadaMpinzani,

Vyoo vya aina hiyo viko sana Scandinavia, hasa kule mashambani. Enzi za uanafunzi Europe, tulikuwa tukienda kuchapa mzigo huko basi watu wanamaliza shughuli zao, baadaye mfuko unafungwa vizuri na kwenda kutupwa sehemu maalumu. Choo ni kizuri kabisa, tatizo tu ni hilo la kila siku kubadilisha mifuko.

Kwa Tanzania hiyo ni balaa kabisa.

ooh, holy thang ! Mbaya zaidi kwa nyumbani tanzania, mvua ikinyesha watu hapo hapo hupata nafasi ya kufungulia mavituz yao, na ukikanyaga maji ya mvua kwa mguu basi ujue umekanyaga mambo fulani ! hii ipo sehemu nyingi sana dar ! mvua zikinyesha, majirani hufungua vyoo !
 
We Kibunango wewe hizo picha sio Tanzania bana....sisi Watanzania hatuko hivyo bana. Acha kutudhalilisha bana...
 
Kibunango na Kada mmegonga ikulu. Hiyo ndo hali halisi ya bara letu la Africa. Vyoo ni mgogoro! hapo hujaongelea bafu! Aise hali inatisha! talk of juhudi za kupambana na kipundupindu! We are joking! big time!

Jamani tunahitaji reality chek tuache nadharia. Nyumba inaungua moto, tusiulizane nani kawasha moto, tusaidiane kuokoa mali na kuuzima kwanza.
 
KadaMpinzani,

Vyoo vya aina hiyo viko sana Scandinavia, hasa kule mashambani. Enzi za uanafunzi Europe, tulikuwa tukienda kuchapa mzigo huko basi watu wanamaliza shughuli zao, baadaye mfuko unafungwa vizuri na kwenda kutupwa sehemu maalumu. Choo ni kizuri kabisa, tatizo tu ni hilo la kila siku kubadilisha mifuko.

Kwa Tanzania hiyo ni balaa kabisa.

Yap unazungumzia dry toilet... Sasa hivi kuna kampeni kubwa ya kutumia vyoo hivyo kutokana na kubana matumizi ya maji
dry_toilet_installation.jpg
 
duh! kama huo ndo ukweli basi ukweli unauma!.
Wakuu hili swala lina ukweli ndani yake,na lina nistaajabisha kwa kiasi fulani.
Sijui kama kuna ailiyewahi shuhudia hili tendo lakini, mimi binafsi nimeshapata kushuhudia,siyo majungu au propaganda na siyo mara moja/mbili,pale Magogoni,nyuma ya 'Nyumba kubwa',karibu kabisa na Ofisi ya WM,kuna soko maarufu sana la samaki,saa za Mchana jua linawaka utaona watu wazima ( bila shaka wapaa/wachuuzi wa samaki,wavuvi)bila ya aibu yeyote wanajisaidia haja kubwa pembezoni tu mwa Bahari.
Hii inaashiria kuwa pamoja na kuwa na mkusanyiko mkubwa tu wa watu mbaliX2 sehemu ile, lakini hakuna 'Vyoo' kwa ajili ya haja Ndogo/kubwa,ua hata kama vipo basi havipo ktk hali nzuri hata kidogo.
**Mungu mkubwa!!
 
...Kwa hivi, mnataka kusema utafiti wa Dr. Watson ni sahihi??? Msinivunje mbavu. Ama kweli bado tunaishi enzi za giza, hata stone age hatujaisogelea.
 
Mwanakijiji na Kishoka wako wapi waje watuwekee hivi vyoo kwenye context au perspective....
 
Back
Top Bottom