BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
Thats my boy! woo, woo,woo! Unafukuzia demu utadhani unaomba ajira???!
Hata kuomba ajira afadhali, labda unaomba uraia
Thats my boy! woo, woo,woo! Unafukuzia demu utadhani unaomba ajira???!
It still work kaka, kazi mnayo nyie mnaofukuzia kina 'Beyonce', mi bado nasarandia kuku wa kienyeji bwana, mtoto ukimhonga buku 10 tu anakuambia "aii wee, miela yote hii si ungepeleka nyumbani kwetu ukaifanya mahari?" LOL!
LOL!....enzi zako zimeshapitwa na wakati. Siku hizi ukitaka kumuelekeza Ghetto siku ya kwanza ili ukananihii basi anakukimbia na hutamuona tena
...ushalala na wangapi ndo utata namba double digits zinageuka kuwa 3 or 4. ahahahahaha
...Hivi ni kwa nini waume woote yaani nianze kuhesabu ukienda date na mtu, kakuinvite dinner, date inakwenda vizuri sana... mbele ya chopsticks na kadhalika, dume linaanza.. oh oh sijui twende kwangu. mmmmmmmmmmm.. sasa hayo ya kwako date ya kwanza! ni ya nini???
Ndo manake ukiwa thug thug hivi mademu wanakufata........imebidi nibadilike imebidi niache useminariSijui kwanini % kubwa ya wanawake wa kileo wanapenda wanaume wakorofi korofi, ukijidai Gentleman utachunwa tena, akikuonea huruma huipati date nyingine.
Ndo manake ukiwa thug thug hivi mademu wanakufata........imebidi nibadilike imebidi niache useminari
tehe tehe tetetehe mkuu hivi viumbe hutakiwi Isidingo nyingi vinadharau wewe kauzu mguumu unampeleke peleka mara unampeleka kwa masela wanakokula msuba sometime unampigisha mguu toka mwenge mpaka K'nyama...Nakumbuka zamani kuna mshkaji wangu alikuwa karudi toka state akapata kitoto kimoja cha sekondari, basi akawa analeta malove duvey na tamthilia kwa sana eti hataki kukigusa hadi kimalize six! jamaa akawa anaishia kupiga matouch na madenda kwa sana,mitoko ya dinner na movie miiingi, siku ya siku akajagundua kuwa wahuni wanabanjuka na kidemu chake kama wendawazimu!! alipagawa kichizi, toka siku hiyo yeye 'ugentleman' hautaki tena.
Hii 1st date tunayojadili ni ya nyumbani bongo na dada zetu kina Tabu na Bahati au deti na watu wenye tamaduni tofauti na zetu kama ughaibuni?
Kama na dada zetu bongo nakubaliana na wengi kuwa hakuna haja ya kurembaremba na kugeuzwa mbuzi manake ndiyo mazoea yetu,unapomtaka demu basi jambo la kwanza ni ngono halafu biashara nyingine baadaye na hata wengi wao wanaelewa hivyo!
Kwa tamaduni za wengine atakushangaa sana na hutamuona tena kama siku ya kwanza tu eti unataka aje kulala kwako au ukalale kwake(unaomba mavituzz).Date zao ni msoto na bila kutumia juhudi za ziada basi utaula wa chuya hata mwaka mzima sanasana utaishia kupiga denda na hugz(lakini ieleweke kuwa sizungumzii mawinga!),nazungumzia demu mwenye heshima zake.Kwasababu wengi wao wanataka kwanza akufahamu vizuri na akupende halafu ndiyo umvue chupi.
Sasa hizi date ndiyo hizo zenye sheria sheria zao sijui siku ya kwanza usiulize umri,usichokonyoe nyama kwenye meno mbele yake,usiinamishe kichwa chini wakati wote wa maongezi,usimgombeze waiter kama amechelewesha msosi nk nk nk
Tena wana shule kabisa uki google dating education basi watakuletea maupupu yote!!!
...
Kama na dada zetu bongo nakubaliana na wengi kuwa hakuna haja ya kurembaremba na kugeuzwa mbuzi manake ndiyo mazoea yetu,unapomtaka demu basi jambo la kwanza ni ngono halafu biashara nyingine baadaye na hata wengi wao wanaelewa hivyo!
Kwa tamaduni za wengine atakushangaa sana na hutamuona tena kama siku ya kwanza tu eti unataka aje kulala kwako au ukalale kwake(unaomba mavituzz).Date zao ni msoto na bila kutumia juhudi za ziada basi utaula wa chuya hata mwaka mzima sanasana utaishia kupiga denda na hugz(lakini ieleweke kuwa sizungumzii mawinga, nazungumzia demu mwenye heshima zake.Kwasababu wengi wao wanataka kwanza akufahamu vizuri na akupende halafu ndiyo umvue chupi.
Sasa hizi date ndiyo hizo zenye sheria sheria zao sijui siku ya kwanza usiulize umri,usichokonyoe nyama kwenye meno mbele yake,usiinamishe kichwa chini wakati wote wa maongezi,usimgombeze waiter kama amechelewesha msosi nk nk nk...
...oookkkkeeeyyyy!,
...pheeeeewww! ...darasa la 'kumla kuku wa kienyeji na kuku wa kizungu' limetulia!
Hii 1st date tunayojadili ni ya nyumbani bongo na dada zetu kina Tabu na Bahati au deti na watu wenye tamaduni tofauti na zetu kama ughaibuni?
Kama na dada zetu bongo nakubaliana na wengi kuwa hakuna haja ya kurembaremba na kugeuzwa mbuzi manake ndiyo mazoea yetu,unapomtaka demu basi jambo la kwanza ni ngono halafu biashara nyingine baadaye na hata wengi wao wanaelewa hivyo!
Kwa tamaduni za wengine atakushangaa sana na hutamuona tena kama siku ya kwanza tu eti unataka aje kulala kwako au ukalale kwake(unaomba mavituzz).Date zao ni msoto na bila kutumia juhudi za ziada basi utaula wa chuya hata mwaka mzima sanasana utaishia kupiga denda na hugz(lakini ieleweke kuwa sizungumzii mawinga!),nazungumzia demu mwenye heshima zake.Kwasababu wengi wao wanataka kwanza akufahamu vizuri na akupende halafu ndiyo umvue chupi.
Sasa hizi date ndiyo hizo zenye sheria sheria zao sijui siku ya kwanza usiulize umri,usichokonyoe nyama kwenye meno mbele yake,usiinamishe kichwa chini wakati wote wa maongezi,usimgombeze waiter kama amechelewesha msosi nk nk nk
Tena wana shule kabisa uki google dating education basi watakuletea maupupu yote!!!
Eh! kula vitu kwanza mengine baadaye...LOL! Wabongo ndiyo tulivyo!!! Inategemea na calibre ya mwanamke kama anajiheshimu basi sahau kula vitu siku ya kwanza lakini kama na yeye anachojali ni uroda tu basi unaweza kufanikiwa. Pia wasomi hili la kumpeleka ghetto siku ya kwanza sahau maana they would like to be treated with respect not like changu doa, lakini kama una tabia ya kuokoteza vicheche tu basi unaweza ukajilia uroda siku ya kwanza. Na mwanamke anayetoa uroda siku ya kwanza ni lazima ujiulize mara mbili mbili je, ni tabia yake kutoa uroda siku ya kwanza!? Maana hapa uwezekano wa kugusa umeme ni mkubwa sana, usiniambie utatumia condom maana huwa zinapasuka.
Niliwahi kuona discussion kama hii kwenye forum ya Waamerika weusi wengi wao walidai kwamba kipindi cha miezi mitatu kinaweza kukubalika kabla hujapewa uroda lakini kikizidi hapo basi unaweza kuingia zako mitini. Na wengi walikuwa wanawaogopa Wanawake ambao wako tayari kutoa uroda siku ya kwanza hali kadhalika wanawake wengi nao kuwaogopa wanaume wanaotaka uroda siku ya kwanza.
Hiyo wamekuuza- usipoulizia umri utauliza nini sasa? Hizo dates zenu ziko complicated, kama unam-date malaika! Kama ni mtu wa kawaida mi nachukua history kamili including age, education, ethnicity + work history!
Kinywaji unamuulizia, kama anataka beer unampa kitu anataka- la sivyo ukampa soda wakati ni mtu wa wine, atakuona kenge!
A gentleman never asks a lady's age!
Eh! kula vitu kwanza mengine baadaye...LOL! Wabongo ndiyo tulivyo!!! Inategemea na calibre ya mwanamke kama anajiheshimu basi sahau kula vitu siku ya kwanza lakini kama na yeye anachojali ni uroda tu basi unaweza kufanikiwa. Pia wasomi hili la kumpeleka ghetto siku ya kwanza sahau maana they would like to be treated with respect not like changu doa, lakini kama una tabia ya kuokoteza vicheche tu basi unaweza ukajilia uroda siku ya kwanza. Na mwanamke anayetoa uroda siku ya kwanza ni lazima ujiulize mara mbili mbili je, ni tabia yake kutoa uroda siku ya kwanza!? Maana hapa uwezekano wa kugusa umeme ni mkubwa sana, usiniambie utatumia condom maana huwa zinapasuka.
Niliwahi kuona discussion kama hii kwenye forum ya Waamerika weusi wengi wao walidai kwamba kipindi cha miezi mitatu kinaweza kukubalika kabla hujapewa uroda lakini kikizidi hapo basi unaweza kuingia zako mitini. Na wengi walikuwa wanawaogopa Wanawake ambao wako tayari kutoa uroda siku ya
kwanza hali kadhalika wanawake wengi nao kuwaogopa wanaume wanaotaka uroda siku ya kwanza.
Ah! Kumbe!!!! you all have been blacklisted. And I am going to warn all my sistas. LOL
Mbu hata wewe pia! nasikitika sana!!
A gentleman never asks a lady's age!