Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,229
- 12,954
UDSM, 1969
Wanafunzi wa kitivo cha sheria waandamana kushinikiza kuondolewa wahadhiri wa Kimarekani katika kitivo hicho.
Walifika mbali kudai wengine ni C.I.A. Kipindi hicho itikadi ya Ujamaa imekomaa mno miongoni mwa vijana, tazama picha na mabango yao.
Umeona Prof Shivji?
Wanafunzi wa kitivo cha sheria waandamana kushinikiza kuondolewa wahadhiri wa Kimarekani katika kitivo hicho.
Walifika mbali kudai wengine ni C.I.A. Kipindi hicho itikadi ya Ujamaa imekomaa mno miongoni mwa vijana, tazama picha na mabango yao.
Umeona Prof Shivji?