10 bora ya WanaCCM wanaokifanyia chama kazi kubwa hapa JF

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Mar 29, 2012
10,239
22,318
Wafuatao wanastahili maua yao kwa kazi kubwa ya kukipigania CCM hapa JF. Hawa ni legends wa Chama kilichobeba matumaini ya watamzania wote yaani CCM. Wamefanya kazi kubwa ya kukieneza chama JF kwenye upinzani mkali...
Mdogo wangu Pascal Mayalla siyo CCM, huyu ni mwandishi huru[free mas....] asiyefungamana na upande wowote.

Magufuli alimutita "njaa" na kama angekuwa "afisa kipenyo" angeshateuliwa ukuu wa mkoa ama Geita au Simiyu .
 
Wafuatao wanastahili maua yao kwa kazi kubwa ya kukipigania CCM hapa JF. Hawa ni legends wa Chama kilichobeba matumaini ya watamzania wote yaani CCM. Wamefanya kazi kubwa ya kukieneza chama JF kwenye upinzani mkali.

1. Lizaboni
2. Bia yetu
4. Lucas mwashambwa
3. MamaSamia2025
4. USSR
5. Etwege
6. Erythrocyte
7. Magonjwa Mtambuka
8. The Boss
9. Pascal Mayalla
10. Faiza Foxy
Hata kuandika mama yangu unahangaika. Alafu ndio think tank wa ccm!

Umeona ulivyoweka namba zako kweli?
 
Wafuatao wanastahili maua yao kwa kazi kubwa ya kukipigania CCM hapa JF. Hawa ni legends wa Chama kilichobeba matumaini ya watamzania wote yaani CCM. Wamefanya kazi kubwa ya kukieneza chama JF kwenye upinzani mkali.

1. Lizaboni
2. Bia yetu
4. Lucas mwashambwa
3. MamaSamia2025
4. USSR
5. Etwege
6. Erythrocyte
7. Magonjwa Mtambuka
8. The Boss
9. Pascal Mayalla
10. Faiza Foxy
Ushahidi kwamba huyo namba Sita anaisaidia CCM uko wapi ? BAADA YA KUSHINDWA KUNIUA KWA RISASI , SUMU NA UCHAWI mmeamua kuunda makundi ya kunichafua , Tangu lini mimi nikashirikiana na Shetani ?

Moderator mkiruhusu watu kuchafuliwa kibwege namna hii mtavuruga amani hapa JF , baada ya mimi kuwekwa kwenye hiyo list of Shame ilikuwa tayari uzi huu ni batili na mlipaswa kuufutilia mbali , maana mnajua kabisa kuwa ni mwongo
 
Numero 6 unamzushia.
Namba 6 na namba 4 ni mtu mmoja mwenye kutumia ID mbili tofauti kwa faida ya pande zote mbili pinzani.

Hebu jiongeze na utumie jicho la 3 kuliona hilo. Kumbuka hizo ID mbili kila mmoja inajitanabaisha kuwa ni ya mwanambeya. Alafu eti moja inasimama upande wa Sugu na nyingine inasimama upande wa Dr Tulia.
 
Namba 6 na namba 4 ni mtu mmoja mwenye kutumia ID mbili tofauti kwa faida ya pande zote mbili pinzani.

Hebu jiongeze na utumie jicho la 3 kuliona hilo. Kumbuka hizo ID mbili kila mmoja inajitanabaisha kuwa ni ya mwanambeya. Alafu eti moja inasimama upande wa Sugu na nyingine inasimama upande wa Dr Tulia.
Sioni anapata faida gani labda awe Mtumishi wa Max Mello zaidi ya hapo haiingii Akilini.
 
Ushahidi kwamba huyo namba Sita anaisaidia CCM uko wapi ? BAADA YA KUSHINDWA KUNIUA KWA RISASI , SUMU NA UCHAWI mmeamua kuunda makundi ya kunichafua , Tangu lini mimi nikashirikiana na Shetani ?

Moderator mkiruhusu watu kuchafuliwa kibwege namna hii mtavuruga amani hapa JF , baada ya mimi kuwekwa kwenye hiyo list of Shame ilikuwa tayari uzi huu ni batili na mlipaswa kuufutilia mbali , maana mnajua kabisa kuwa ni mwongo
Mkuu upo sahihi
Lakini fahamu kwamba kwa sasa CCM wengi wamerukwa akili, ukikutana na yeyote njiani fanya hisani ya kumvusha barabara.

Mtoa hoja amefanya name calling ambapo inakiuka kanuni za JF
 
Back
Top Bottom