ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,557
kama kuna watu wamechaguliwa kufanya kazi na hawafanyi wakati mwingine inabidi wasukumwe kidogo... I mean tutaendelea kuwaomba mpaka lini?
hapa ni countdown ya tz after libya..
kama kuna watu wamechaguliwa kufanya kazi na hawafanyi wakati mwingine inabidi wasukumwe kidogo... I mean tutaendelea kuwaomba mpaka lini?
Kuna wakati wa kulalamika na kunung'unika na kuna wakati wa kuamua kufanya kitu. Wapo ambao wameamua na wanaamua kufanya kitu.. Wakati wa kufanya kitu wakati mwingine inategemea sana muda na muda ukifika inabidi ufanye hicho kitu.. so ndani ya masaa 24 tunaanza kuhesabu tic tac tic tac
Sometimes bora mtu kuacha tu...Superstar wa JF!!!
Kuna wakati wa kulalamika na kunung'unika na kuna wakati wa kuamua kufanya kitu. Wapo ambao wameamua na wanaamua kufanya kitu.. Wakati wa kufanya kitu wakati mwingine inategemea sana muda na muda ukifika inabidi ufanye hicho kitu.. so ndani ya masaa 24 tunaanza kuhesabu tic tac tic tac
PAW
Banned: MM Mwanakijiji - 24 hours
Reason: Kuleta mafumbo JF Where we Dare Talk Openly
Kuna wakati wa kulalamika na kunung'unika na kuna wakati wa kuamua kufanya kitu. Wapo ambao wameamua na wanaamua kufanya kitu.. Wakati wa kufanya kitu wakati mwingine inategemea sana muda na muda ukifika inabidi ufanye hicho kitu.. so ndani ya masaa 24 tunaanza kuhesabu tic tac tic tac
Sometimes bora mtu kuacha tu...
1hrs left,,, I'll be back shortly in a new thread. Usikose
Kwa ujumla wake umeeleweka. "kama mtu hutaki kubadilika, mabadiliko yatakubadilisha". Nafuatilia!kama kuna watu wamechaguliwa kufanya kazi na hawafanyi wakati mwingine inabidi wasukumwe kidogo... I mean tutaendelea kuwaomba mpaka lini?
...............................Nahisi yafuatayo,maana na mie nimeyapata haya ya Mwanakijiji..
Hizi ni fununu........
- Ngeleja out,Malima waziri
- Kombani out
- Wasira out-lowasa in
Sometimes bora mtu kuacha tu...
1hrs left,,, I'll be back shortly in a new thread. Usikose
Ni dakika kama 30 zijazo tu, hakuna kikubwa mkuu, ni yale yale... Ya kushtukiza na kumfanya mtu aanze kutafakari mara mbilimbiliMbona mnatuchanganya. Mtu kavua gamba au? Na Eid yote hiii kweli?
Ni dakika kama 30 zijazo tu, hakuna kikubwa mkuu, ni yale yale... Ya kushtukiza na kumfanya mtu aanze kutafakari mara mbilimbili
Sometimes bora mtu kuacha tu...
1hrs left,,, I'll be back shortly in a new thread. Usikose
.ccm hawana chao igungaBado tu???