upotevu wa mapato

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Suley2019

    Mkuu wa Mkoa Kigoma azitaka Halmashauri kudhibiti upotevu wa mapato

    Mkuu wa mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye amezielekeza timu za Menejimenti za Halmashauri mkoani humo kuhakikisha zinasimamia na kudhibi upotevu wa mapato yanayotokana na makusanyo ya ndani katika Halmashauri hizo Andengenye ametoa maelekezo hayo alipokuwa akifunga kikao kazi kilichomkutanisha...
  2. Msichoke

    Dkt. Mwigulu: Mifumo ya kielektroniki ni muarobaini upotevu wa mapato ya serikali

    Matumizi sahihi na salama ya mifumo ya kieletroniki Serikalini, yametajwa kuwa suluhisho la kudumu katika kuziba mianya ya upotevu wa rasilimali za serikali ikiwemo mapato yatokanayo na vyanzo mbalimbali nchini. Hayo yameelezwa jana jijini Dodoma na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba, wakati...
  3. Rashda Zunde

    Mifumo ya DP World kudhibiti mianya ya upotevu wa mapato

    Kutokana na madai ya kuwepo changamoto za mifumo madhubuti na kusababisha baadhi ya watu wasio na uadilifu kujihusisha na vitendo vya udanganyifu na kupoteza mapato ya Serikali katika Bandari ya Dar es Salaam na bandari nyingine nchini, Kampuni ya DP World (DPW) inayotarajiwa kuwekeza kwenye...
Back
Top Bottom