Mashambulizi ya risasi yaliyotokea maeneo tofauti katika Kitongoji cha Lewiston kwenye Mji wa Maine yamesababisha watu 22 kuuawa na wengine kati ya 50 hadi 60 kujeruhiwa.
Polisi wa Lewiston wamesema wanamshuku mhusika mkuu katika tukio hilo ni Robert Card (40) na kuwa ni mtu hatari ambapo...
Tukio hilo limetokea Kaskazini mwa Iran karibu na Mji wa Kirkuk ikidaiwa Kundi la IS limehusika.
Bomu lililipuka kwenye gari lililobeba askari hao karibu na Kijiji cha Chalal al-Matar, kisha wakashambuliwa kwa risasi, askari wengine wawili wakijeruhiwa.
Inakadiriwa kikundi hicho kina...
Polisi nchini Thailand wameripoti kuwa zaidi ya watu 30 wameuawa katika shambulizi liliofanyika kwenye kituo cha kulea watoto. Taarifa za awali zinasema shambulizi hilo limefanywa kwa kutumia bunduki na mtu mmoja ambaye anatafutwa kwa sasa.
----
BANGKOK: At least 31 people were killed on...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.