Tumekuwa tukiaminishwa kuwa lengo la sensa ni kuisaidia serikali kupata takwimu zitakazosaidia kugawa keki ya taifa kulingana na idadi ya watu katika sehemu husika. Hiyo inabaki kuwa nadharia tu ila kiuhalisia sio hivyo.
Tumeshuhudia wilaya kama Chato na sehemu nyingine wanakotoka viongozi...
Jumanne Agosti 23 2022, itakuwa ni siku ya Sensa ya sita (6) tangu Tanzania kupata uhuru. Sensa hii itafanyika kwa mujibu wa sheria ya Takwimu sura Na. 351 kifungu cha 6(2)(a).
Muda sahihi wa watu na makazi yao kuhesabiwa ni usiku wa kuamkia tarehe 23 Agosti 2022.
KUMB: Taarifa zote zitakazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.