nonsense

Nonsense is a communication, via speech, writing, or any other symbolic system, that lacks any coherent meaning. Sometimes in ordinary usage, nonsense is synonymous with absurdity or the ridiculous. Many poets, novelists and songwriters have used nonsense in their works, often creating entire works using it for reasons ranging from pure comic amusement or satire, to illustrating a point about language or reasoning. In the philosophy of language and philosophy of science, nonsense is distinguished from sense or meaningfulness, and attempts have been made to come up with a coherent and consistent method of distinguishing sense from nonsense. It is also an important field of study in cryptography regarding separating a signal from noise.

View More On Wikipedia.org
  1. Chachu Ombara

    CHADEMA wasitisha safari kuelekea Katesh-Hanang kuwafariji wahanga wa mafuriko kutokana na vikwazo walivyowekewa

    Kupitia mtandao wa X, GODBLESS LEMA ameandika kuwa wameamua kusitisha safari ya kutembelea wahanga wa mafuriko kateshi wilayani Hanang kutokana na vikwazo vikali wanavyokutana navyo tokea waanze safari ya kuelekea huko --- Tumekatisha safari ya kuelekea Katesh- Hanang kuona waanga wa mafuriko...
  2. robinson crusoe

    Kila waziri anaongea yake kuhusu Bandari, Wananchi wanazungumzia MKATABA!

    Rais Samia aliwahi kumtukana waziri wake kwamba alifanya 'nonsense'. Limekuja suala ya kuuza bandari sasa kila waziri na wanasiasa wanainuka kutetea uuzwaji huo wanaongea nonsense! Lukuvi kajitutumua akajikuta nonsense yake inaeleza umuhimu wa kuvutia wawekezaji. Wananchi wanazungumzia MKATABA...
  3. Kamanda Asiyechoka

    Wenzetu wanajenda Bombshelter ili kujikinga na maadui kipindi cha uvamizi, sisi hata shule za msingi hatuwezi kujenga

    Aibu kubwa sana unakuta Kiongozi wa Ccm ana Shangingi V 8 lakini watoto wanakaa chini na shule haina majengo huku wamevaa Yeboyebo. Huko Ukraine wanajenga mahandaki ya kujificha ili mabomu ya adui yasiwadhuru. Hii ina maana wanatumia pesa ya umma vyema
Back
Top Bottom