Nakwenda kwenye mada ni wiki mbili zimepita Rais Trump alisema serikali ya Burundi ni hatari kwa usalama wake , tamko hilo lilikanushwa na serikali ya Burundi kupitia msemaji wa serikali, sasa mimi najaribu kujiuliza na sipati picha U.S.A kuhofia ki inchi kidogo na maskini kabisa .
Je ni nini...
Habarini za Alhamisi natumaini mpo vizuri sana, poleni kwa wale wagonjwa Mungu awape afya njema. kama ilivyo kawaida yangu ya kuwaletea makala za kutambua mambo mbalimbali kuhusu jamii kadhaa hapa duniani. kuanzia utamaduni wao, mila pamoja na namna ya maisha yao kwa ujumla.
Leo nitakuja...
Historia ya binadamu na ustaarabu wake,inatusimulia na kutilia mkazo juu ya chanzo cha ulimwengu na vilivyomo. Achilia mbali usahihi wa nukuu hizo za kihistoria,hili ni somo kando na hapa halizingatiwi kwa sababu za kielimu na dharura ya muda.
Anasema muandishi wa kitabu "Wanafalsafa wa kale wa...
Kuna habari za kuaminika Kuwa Russia ameingia Libya na anawaunga mkono Haftar na pia amewapa silaha nzito,
Pia kuna wanausalama wa GRU na vikosi toka Russia vimepelekwa Mashariki mwa Libya kwa kutoa mafunzo.. pia kuna kambi kubwa mbili huko Tobruk na Baghaz pia inaaminika siraha na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.