kinyesi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. D

    Niliwahi kusikia umeme wa chooni una nguvu, lakini hadi leo hakuna mwanasayansi hata mmoja aliyewahi kuvuna kinyesi tupate umeme

    Tangu miaka ya zamani tuliaminishwa hivyo" Kwamba karo la choo likiwa na kinyesi liwauwezo wa kuzalisha Megawatt za kutosha! Sijui kwanini hadi Leo wanasayansi wapo kimya! Yamkini tungekuwa na STIEGLERS ndogo ndogo kila mtaa!
  2. No Escape2

    Mradi: Mbolea ya kinyesi cha Binaadamu

    Wakuu nisiwachoshe sana, Naomba mwongozo kwa anaeweza kunisaidia kuanzisha kiwanda cha uzalishaji mbolea hii adimu kuhusu malighafi ipo ya kutosha! Mnisaidie pa kuanzia ili niweze kuandaa mashine, mtaji na jambo lolote ambalo mnahisi litanisaidia kunzisha mradi huu na pia Alie tayari kuungana...
  3. AbuuMaryam

    Tatizo hili linanitisha juu ya mwanangu. Msaada jamani!

    Mwanangu baada ya kumpa uji leo asubuhi niliochanganya na mafuta ya Habbat souda na asali... Akawa anajiangalia tumbo lake kama analipiga piga.. Nikadhani linamuuma labda au ameshiba sana... Shida alipojisaidia toka asubuhi yake kabla sijampa huo uji nilioeleza hapo. .. ALIJISAIDIA KINYESI...
Back
Top Bottom