kazi au shughuli

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ed Kawiche

    Anatafuta kazi ama shughuli yoyote, inayohitaji vyeti ama isiyohitaji vyeti.

    Habari wakuu. Nipo na binti wa miaka 25, ni mkazi wa Wilaya ya Dodoma mjini Kata ya Ihumwa. Elimu yake ni Stashahada ya mahusiano kazini kati ya mwajiri na mwajiriwa (diploma in industry relation/labour relation.) Mwaka 2020 alihitimu na kufanya mafunzo ya miezi6 katika ofisi ya tume ya uamuzi...
  2. Pain 01

    Hawa Form 4 & Form 6 wanaopata ajira TRA huwa wanaajiriwa sekta ipi?

    Wakuu habari za kazi. Ladies and gents, Naombeni kuulizaa na majibu yawe yakuridhisha wakuu tafadhalini. Hawa form 4 & form 6 wanaopata ajira tra huwa wanaaniriwa secta ipi wakuu na pia mshahara wa vijana hawa huwa ina range namna ipi? Mawazo yako yatafungua wengine wakuu karibuni.
  3. nyambuneb

    sales people needed

    Bic sales unit was established in August 2013, as the first locally incorporated Insurance sales unit in Jubilee Company based in Tanzania . Jubilee Insurance has spread its sphere of influence throughout the region to become the largest Composite insurer in East Africa, handling Life...
  4. K

    Ni kampuni au Taasisi ipi ni muajiri bora?

    Wanajamvi ni nani muajiri bora Tanzania iwe kampuni au Taasisi?
  5. Mboka man

    Mrejesho: Baada ya kwenda kutambulishwa ukweni kama mchumba mtarajiwa

    Takribani siku chache tangu nitambulishwe ukweni kama kijana mtarajiwa mambo nilioweza kuyaona. 1.Nilikaribishwa salama salmini kwa vifijo na vigelele msosi ulipikwa tukala na kusaza. 2.Baada ya hapo talisman mazungumzo tukiwa watu watatu mimi, baba mkwe na mama mkwe ila yote tisa kumi ni pale...
Back
Top Bottom